Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Ndugu yangu mwanaJamiiForums tuwe na kumbu kumbu kua 2015 wakati Rais Magufuli anaomba kura aliahidi mambo mazuri na makubwa sana lakini mpaka sasa anatimiza ungwe ya miaka mitano hajatumia yote. Hii maana yake alitudanganya sana.
Hebu tazama haya halafu tathmini kisha chukua hatua muhimu.
1. Aliahidi kuboresha maslahi kwa watumishi wa umma, mpaka sasa hakuna kitu kama hicho. Maana yake alidanganya.Eti sasahivi anaomba kura kua ataboresha, alikua wapi miaka 5 iliyopita?
2. Aliahidi kuondoa tatizo la ajira lakini hakufanya hivyo. Ni juzi tu amekiri kua ukosefu wa ajira ni tatizo kubwa huku akiomba tena ridhaa ili aje aboreshe utafikiri miaka 5 iliyopita hakuwepo.
3. Aliahidi milion 50 kila kijiji kitu ambacho hakutimiza hata kidogo.
4. Aliahidi kuboresha maisha ya watanzania lakini mpaka hali za maisha ya watanzania ni ngumu kupata mlo mmoja kwa siku ni tatizo kubwa.
5. Aliahidi kuwakopesha wanafunzi wote wenye sifa Elimu ya juu,lakini mpaka sasa ni vilio kila mahali vijana wengi hawapati mikopo kwa sababu mbali mbali zikiwemo kusoma shule binafsi.
Watanzania wenzangu, kumbu kumbu hizi zitoe hukumu ya kutosha na ni dhambi kurudia makosa yale yale.
Hebu tazama haya halafu tathmini kisha chukua hatua muhimu.
1. Aliahidi kuboresha maslahi kwa watumishi wa umma, mpaka sasa hakuna kitu kama hicho. Maana yake alidanganya.Eti sasahivi anaomba kura kua ataboresha, alikua wapi miaka 5 iliyopita?
2. Aliahidi kuondoa tatizo la ajira lakini hakufanya hivyo. Ni juzi tu amekiri kua ukosefu wa ajira ni tatizo kubwa huku akiomba tena ridhaa ili aje aboreshe utafikiri miaka 5 iliyopita hakuwepo.
3. Aliahidi milion 50 kila kijiji kitu ambacho hakutimiza hata kidogo.
4. Aliahidi kuboresha maisha ya watanzania lakini mpaka hali za maisha ya watanzania ni ngumu kupata mlo mmoja kwa siku ni tatizo kubwa.
5. Aliahidi kuwakopesha wanafunzi wote wenye sifa Elimu ya juu,lakini mpaka sasa ni vilio kila mahali vijana wengi hawapati mikopo kwa sababu mbali mbali zikiwemo kusoma shule binafsi.
Watanzania wenzangu, kumbu kumbu hizi zitoe hukumu ya kutosha na ni dhambi kurudia makosa yale yale.