Uchaguzi 2020 Magufuli alitudanganya, hebu tumpe kura Tundu Lissu naye atende

Uchaguzi 2020 Magufuli alitudanganya, hebu tumpe kura Tundu Lissu naye atende

Urais sio Sehemu ya kujaribu

Tunataka Rais Magufuli aendelee na tutampigia kura za kishindo, Kwasababu msaliti wa Nchi toka ubeligiji ametutharau sana Watanzania

Muulizeni Lissu Kwanini amekata tikit ya kurudi ubeligiji wiki moja baada ya Uchaguzi

Anajua Watanzania wamemkataa
Anaenda Kwa ajili ya matibabu yake.
 
Mbona alificha safari yake ? Hadi watu wamefuchua wengine

Kwanini awafiche safari hata viongozi wa chadema ?
Sijui kama alificha.Hata Mimi binafsi nikitaka kusafiri huwa siagi hadi siku ya Safari,begi mgongoni ndipo naaga.Ni sehemu ya tamaduni zetu.
 
Acha kuwaza leo, angalia mbele. Maendeleo hayafati watu bali watu hufata maendeleo. Kukishakuwa na mifumo wezeshi ni rahisi mtu kuhamia.
 
Unagombea Urais unaficha? Tena anawaficha hadi viongozi wake?
Sijui kama alificha.Hata Mimi binafsi nikitaka kusafiri huwa siagi hadi siku ya Safari,begi mgongoni ndipo naaga.Ni sehemu ya tamaduni zetu.
 
Ndugu yangu mwanaJamiiForums tuwe na kumbu kumbu kua 2015 wakati Rais Magufuli anaomba kura aliahidi mambo mazuri na makubwa sana lakini mpaka sasa anatimiza ungwe ya miaka mitano hajatumia yote. Hii maana yake alitudanganya sana.

Hebu tazama haya halafu tathmini kisha chukua hatua muhimu.

1. Aliahidi kuboresha maslahi kwa watumishi wa umma, mpaka sasa hakuna kitu kama hicho. Maana yake alidanganya.Eti sasahivi anaomba kura kua ataboresha, alikua wapi miaka 5 iliyopita?

2. Aliahidi kuondoa tatizo la ajira lakini hakufanya hivyo. Ni juzi tu amekiri kua ukosefu wa ajira ni tatizo kubwa huku akiomba tena ridhaa ili aje aboreshe utafikiri miaka 5 iliyopita hakuwepo.

3. Aliahidi milion 50 kila kijiji kitu ambacho hakutimiza hata kidogo.

4. Aliahidi kuboresha maisha ya watanzania lakini mpaka hali za maisha ya watanzania ni ngumu kupata mlo mmoja kwa siku ni tatizo kubwa.

5. Aliahidi kuwakopesha wanafunzi wote wenye sifa Elimu ya juu,lakini mpaka sasa ni vilio kila mahali vijana wengi hawapati mikopo kwa sababu mbali mbali zikiwemo kusoma shule binafsi.


Watanzania wenzangu, kumbu kumbu hizi zitoe hukumu ya kutosha na ni dhambi kurudia makosa yale yale.
Ni makosa makubwa kumchagua magufuli tena.
 
Urais sio Sehemu ya kujaribu

Tunataka Rais Magufuli aendelee na tutampigia kura za kishindo, Kwasababu msaliti wa Nchi toka ubeligiji ametutharau sana Watanzania

Muulizeni Lissu Kwanini amekata tikit ya kurudi ubeligiji wiki moja baada ya Uchaguzi

Anajua Watanzania wamemkataa
Mko wachache sana mliobaki kura hazitatosha.
 
Watanzania hawawezi kupigia kura msaliti wa Nchi
Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Kama Pope Francis anatetea ushoga, na wakati huuo huo akija hapa Bongolazima Magufuli atampigia magoti na kumtui
 
Back
Top Bottom