Comrade 01
JF-Expert Member
- Feb 27, 2015
- 601
- 626
Anaenda Kwa ajili ya matibabu yake.Urais sio Sehemu ya kujaribu
Tunataka Rais Magufuli aendelee na tutampigia kura za kishindo, Kwasababu msaliti wa Nchi toka ubeligiji ametutharau sana Watanzania
Muulizeni Lissu Kwanini amekata tikit ya kurudi ubeligiji wiki moja baada ya Uchaguzi
Anajua Watanzania wamemkataa
Anaenda Kwa ajili ya matibabu yake.
Ni clinic kutokana na majeraha ya kushambuliwa kwake Kwa risasi.Anaugua akimaliza kampeni [emoji3][emoji3]
Ni clinic kutokana na majeraha ya kushambuliwa kwake Kwa risasi.
Sijui kama alificha.Hata Mimi binafsi nikitaka kusafiri huwa siagi hadi siku ya Safari,begi mgongoni ndipo naaga.Ni sehemu ya tamaduni zetu.Mbona alificha safari yake ? Hadi watu wamefuchua wengine
Kwanini awafiche safari hata viongozi wa chadema ?
Sijui kama alificha.Hata Mimi binafsi nikitaka kusafiri huwa siagi hadi siku ya Safari,begi mgongoni ndipo naaga.Ni sehemu ya tamaduni zetu.
Ni makosa makubwa kumchagua magufuli tena.Ndugu yangu mwanaJamiiForums tuwe na kumbu kumbu kua 2015 wakati Rais Magufuli anaomba kura aliahidi mambo mazuri na makubwa sana lakini mpaka sasa anatimiza ungwe ya miaka mitano hajatumia yote. Hii maana yake alitudanganya sana.
Hebu tazama haya halafu tathmini kisha chukua hatua muhimu.
1. Aliahidi kuboresha maslahi kwa watumishi wa umma, mpaka sasa hakuna kitu kama hicho. Maana yake alidanganya.Eti sasahivi anaomba kura kua ataboresha, alikua wapi miaka 5 iliyopita?
2. Aliahidi kuondoa tatizo la ajira lakini hakufanya hivyo. Ni juzi tu amekiri kua ukosefu wa ajira ni tatizo kubwa huku akiomba tena ridhaa ili aje aboreshe utafikiri miaka 5 iliyopita hakuwepo.
3. Aliahidi milion 50 kila kijiji kitu ambacho hakutimiza hata kidogo.
4. Aliahidi kuboresha maisha ya watanzania lakini mpaka hali za maisha ya watanzania ni ngumu kupata mlo mmoja kwa siku ni tatizo kubwa.
5. Aliahidi kuwakopesha wanafunzi wote wenye sifa Elimu ya juu,lakini mpaka sasa ni vilio kila mahali vijana wengi hawapati mikopo kwa sababu mbali mbali zikiwemo kusoma shule binafsi.
Watanzania wenzangu, kumbu kumbu hizi zitoe hukumu ya kutosha na ni dhambi kurudia makosa yale yale.
Mko wachache sana mliobaki kura hazitatosha.Urais sio Sehemu ya kujaribu
Tunataka Rais Magufuli aendelee na tutampigia kura za kishindo, Kwasababu msaliti wa Nchi toka ubeligiji ametutharau sana Watanzania
Muulizeni Lissu Kwanini amekata tikit ya kurudi ubeligiji wiki moja baada ya Uchaguzi
Anajua Watanzania wamemkataa
Nyie hata akiamua kupita mfereji hadi mfereji akiwapima oil mtamuunga mkono.
Sishangai
Kabisa mkuu,atatufanya hivi.Ni makosa makubwa kumchagua magufuli tena.
Wacha kumsingizia, anasubiriwa kwa hamu we huoni hata tiketi anayo? M a b a s h a wake wanamsubiri kwa hamu.Tundu Lissu anatosha kuyaondoa maumivu ya watanzania
Kama Pope Francis anatetea ushoga, na wakati huuo huo akija hapa Bongolazima Magufuli atampigia magoti na kumtuiWatanzania hawawezi kupigia kura msaliti wa Nchi
Pia Tanzania hatutaki ushoga,