Magufuli aliwapepeta wapinzani kama ngano, tukajua ngano ni ipi na pumba ni zipi!

Magufuli aliwapepeta wapinzani kama ngano, tukajua ngano ni ipi na pumba ni zipi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Shetani ndiye mjaribu mkuu ambaye akiisha tujaribu mrejesho humrudia Mungu wa mbinguni

Sisi Wakristo huwa tunaomba kila siku tukisema " ...Usitutie Majaribuni/ Kishawishini lakini utuokoe na yule mwovu"

Hivyo basi shetani amepewa Mamlaka ya Kutujaribu hata sasa ila mwokozi Yesu alifanikiwa kumnyang'anya funguo za kuzimu hivyo hawezi kuuwa

So ukimwita shetani mtu aliyetusaidia kuwatia Majaribuni Wapinzani hadi tukawajua kwa Hakika Wapinzani wa mchongo ni nani, hapo sina makasiriko

Wishing you a happy new year 2023!
 
Leo umepuyanga mno sijajua kwa nini ?labda kwa sababu umeamkia kiporo cha jana
 
Basi tu ila waislamu siasa kali toka kitambo humuona Nyerere na Lowassa ni kama mashetani.
 
Ni wapinzani wachache walioweza kuhimili kwani zama zile ukikataa kuunga juhudi kupotea au kesi ya kubambikiwa inakuhusu.Ww ulitaka wenye mioyo midogo tofauti na mwamba Mbowe aliyevumilia yote wangefanyeje ?
 
Shetani ndiye mjaribu mkuu ambaye akiisha tujaribu mrejesho humrudia Mungu wa mbinguni

Sisi Wakristo huwa tunaomba kila siku tukisema " ...Usitutie Majaribuni/ Kishawishini lakini utuokoe na yule mwovu"

Hivyo basi shetani amepewa Mamlaka ya Kutujaribu hata sasa ila mwokozi Yesu alifanikiwa kumnyang'anya funguo za kuzimu hivyo hawezi kuuwa

So ukimwita shetani mtu aliyetusaidia kuwatia Majaribuni Wapinzani hadi tukawajua kwa Hakika Wapinzani wa mchongo ni nani, hapo sina makasiriko

Wishing you a happy new year 2023!
Yani wewe. Kila unachosikia hata mazungumzo ya mke wako na shoga zake unakuja kuanzisha uzi humu jamvin. Ndo maana professor mgaya amekufukuza na kukukataza usimtangazetangaze tena humu.

Mbowe Forever
 
Yani wewe. Kila unachosikia hata mazungumzo ya mke wako na shoga zake unakuja kuanzisha uzi humu jamvin. Ndo maana professor mgaya amekufukuza na kukukataza usimtangazetangaze tena humu.

Mbowe Forever
Mbowe wa maridhiano?!
 
Shetani ndiye mjaribu mkuu ambaye akiisha tujaribu mrejesho humrudia Mungu wa mbinguni

Sisi Wakristo huwa tunaomba kila siku tukisema " ...Usitutie Majaribuni/ Kishawishini lakini utuokoe na yule mwovu"

Hivyo basi shetani amepewa Mamlaka ya Kutujaribu hata sasa ila mwokozi Yesu alifanikiwa kumnyang'anya funguo za kuzimu hivyo hawezi kuuwa

So ukimwita shetani mtu aliyetusaidia kuwatia Majaribuni Wapinzani hadi tukawajua kwa Hakika Wapinzani wa mchongo ni nani, hapo sina makasiriko

Wishing you a happy new year 2023!
BAHATI NZURI MUNGU AKAWA FUNDI AKAMALIZA MCHEZO WAPINZANI WAPO YEYE CHALI
 
Shetani ndiye mjaribu mkuu ambaye akiisha tujaribu mrejesho humrudia Mungu wa mbinguni

Sisi Wakristo huwa tunaomba kila siku tukisema " ...Usitutie Majaribuni/ Kishawishini lakini utuokoe na yule mwovu"

Hivyo basi shetani amepewa Mamlaka ya Kutujaribu hata sasa ila mwokozi Yesu alifanikiwa kumnyang'anya funguo za kuzimu hivyo hawezi kuuwa

So ukimwita shetani mtu aliyetusaidia kuwatia Majaribuni Wapinzani hadi tukawajua kwa Hakika Wapinzani wa mchongo ni nani, hapo sina makasiriko

Wishing you a happy new year 2023!
Kama pia ilivyotokea kwa Ayubu wa Agano la Kale! Aisee.
 
Kwahiyo shetani ana wakati anafaa kuwepo ili kubalansi maisha la sivyo watu watalishwa pumba wakiambiwa ndo mchele wenyewe 😂😂😂😂
 
Shetani ndiye mjaribu mkuu ambaye akiisha tujaribu mrejesho humrudia Mungu wa mbinguni

Sisi Wakristo huwa tunaomba kila siku tukisema " ...Usitutie Majaribuni/ Kishawishini lakini utuokoe na yule mwovu"

Hivyo basi shetani amepewa Mamlaka ya Kutujaribu hata sasa ila mwokozi Yesu alifanikiwa kumnyang'anya funguo za kuzimu hivyo hawezi kuuwa

So ukimwita shetani mtu aliyetusaidia kuwatia Majaribuni Wapinzani hadi tukawajua kwa Hakika Wapinzani wa mchongo ni nani, hapo sina makasiriko

Wishing you a happy new year 2023!
Duh! Mpepetaji naye akajikuta akipepetwa wodini kwa ugonjwa hadi mauti kumfikia. Kweli duniani sote tunapita tu.
 
Kwahiyo shetani ana wakati anafaa kuwepo ili kubalansi maisha la sivyo watu watalishwa pumba wakiambiwa ndo mchele wenyewe 😂😂😂😂
Bwashee hata Yesu alipitia majaribu ya shetani

Hii Dunia ni ya shetani
 
Shetani ndiye mjaribu mkuu ambaye akiisha tujaribu mrejesho humrudia Mungu wa mbinguni

Sisi Wakristo huwa tunaomba kila siku tukisema " ...Usitutie Majaribuni/ Kishawishini lakini utuokoe na yule mwovu"

Hivyo basi shetani amepewa Mamlaka ya Kutujaribu hata sasa ila mwokozi Yesu alifanikiwa kumnyang'anya funguo za kuzimu hivyo hawezi kuuwa

So ukimwita shetani mtu aliyetusaidia kuwatia Majaribuni Wapinzani hadi tukawajua kwa Hakika Wapinzani wa mchongo ni nani, hapo sina makasiriko

Wishing you a happy new year 2023!
Teka, tesa, uaaaa, filisi, wape kesi uhujumu uchumi, washughulikie huko ndan ya bunge wakitoka nje ntadili nao!! So unategemea nn hapo? Hata wapinzani ni binadam wana moyo wa nyama na hofu ya kifo!!
 
Shetani ndiye mjaribu mkuu ambaye akiisha tujaribu mrejesho humrudia Mungu wa mbinguni

Sisi Wakristo huwa tunaomba kila siku tukisema " ...Usitutie Majaribuni/ Kishawishini lakini utuokoe na yule mwovu"

Hivyo basi shetani amepewa Mamlaka ya Kutujaribu hata sasa ila mwokozi Yesu alifanikiwa kumnyang'anya funguo za kuzimu hivyo hawezi kuuwa

So ukimwita shetani mtu aliyetusaidia kuwatia Majaribuni Wapinzani hadi tukawajua kwa Hakika Wapinzani wa mchongo ni nani, hapo sina makasiriko

Wishing you a happy new year 2023!
Hahahaha Rais Samia nitafurahi sana siku akichimba mkwara kuhusu kumtusi, kumdhihaki Dkt Magufuli, yaani siku hiyo nitachinja kuku nitajua sasa rais tunaye na ana mamlaka kama ilivyokuwa kwa rais Magufuli alipokataza watu wasimseme Dkt Kikwete.
 
Lisu mpaka Leo akiona picha ya mwamba ni ushuzi tuh unamtoka unafanya mchezo na kupetwa.ila chadema badilikeni Kwa kweli
 
Hahahaha Rais Samia nitafurahi sana siku akichimba mkwara kuhusu kumtusi, kumdhihaki Dkt Magufuli, yaani siku hiyo nitachinja kuku nitajua sasa rais tunaye na ana mamlaka kama ilivyokuwa kwa rais Magufuli alipokataza watu wasimseme Dkt Kikwete.
Screenshot_20221227-074711_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom