Magufuli aliwapepeta wapinzani kama ngano, tukajua ngano ni ipi na pumba ni zipi!

Magufuli aliwapepeta wapinzani kama ngano, tukajua ngano ni ipi na pumba ni zipi!

Futa hii Mkuu! Wapinzani ni watanzania wenzetu na Katiba inatambua uwepo wao. Kumtukuza mtu aliyesigina Katiba kama Magufuli ni UWEHU
 
Ni wapi na lini Mhe. Rais alisema hiki ulichokiandika? Yaani hiyo 'alimuita shetani..." Siyo kwa sababu tuna Id fake basi tusambaze sumu tu ktk taifa. Huu si uungwana hata kidogo na haukubaliki🙏🙏🙏
Ungemuuliza Kwanza huyo mleta mada ni mpinzani yupi alimuita Magufuli shetani
 
Back
Top Bottom