Magufuli aliweza vipi kwa Miaka 5?

Magufuli aliweza vipi kwa Miaka 5?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Magufuli aliweza vipi kuendesha nchi kwa miaka 5 bila ya kuwaminya Wananchi kwa kodi na tozo?

Na msiniambie alikopa kwani mpaka Samia anaingia debt to GDP ratio Tanzania ilikuwa one of the lowest Duniani na ndani ya mwaka mmoja deni limeongezeka kwa > 50% sasa aliweza vipi kulipa Mishahara, kujenga Miundo mbinu kama Barabara, Reli, Bandari, Airports, kununua ndege na kufufua shirika la Airtcl, kujenga na kuweka Meli karibia kila Ziwa kubwa Tanzania, kujenga Madaraja kama mto Wami hapo hapo kujenga Dodoma kama Mji Mkuu?

Nijibuni aliweza vipi ? Magufuli was a genius, sasa hivi vilio kila mahali na ndio mwanzo tu, …
 
Jiwe aliweza kwasababu....alipewa ramani ya wafanyabiashara hawa na hawa hawajalipa Kodi ya serikali nyingi Tu...yeye moja Kwa moja akawa anadili nao...kama unavyojua watu walimjua jiwe Hana masikhara ni mtu kazi....so watu walilipa miamala na fedha kuonekana
 
Nenda chattle kamuulize humu huwezi pata majibu,Sasa tupo awamu ya sita kazi iendele,Bibi tozo anachapa kazi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
What are you benefitng from hating a person who was real patriot in our country.

A person who tried his best to keep everything on the line before he died.

A person who had the guts to change and did things that before looked impossible.
 
Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.

Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!

Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.

Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.

Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!

Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
 
Nenda chattle kamuulize humu huwezi pata majibu,Sasa tupo awamu ya sita kazi iendele,Bibi tozo anachapa kazi.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kuwa na akili ata kwa dakika mbili kenge wewe,kwa mleta mada hajui jpm na marehemu,watu wanaongelea vitu vya msingi wewe unaleta chuki zako kama vile marehemu alikuachia dole mqunduni ovyooo kabisa.
 
Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.

Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!

Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.

Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.

Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!

Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
Wafanyabiashara hao wakubwa ni akina nani na ningependa kufahamu kiasi walichonyang'anywa ili tupime na mambo aliyoyafanya
 
Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.

Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!

Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.

Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.

Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!

Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.

Unaweza nipa mfano wa nchi yoyote ile ya kistaarabu yenye hofu ya Mungu na iliyoendelea ambapo masikini wanalipa kodi na siyo matajiri? Hivi kwa masikini unaweza kupata kodi ya maana kuendesha nchi? Kwa pato gani ?
 
😁😁😁shuhudia mwenyewe

JamiiForums1731841420.jpeg
 
Alichukua Kwa Wafanyabiashra wakubwa kinguvu.
Masikini wakawa wanacheka cheka.

Sasa zamu yenu mnapiga YOWE!

Hii inaitwa Mkuki Kwa nguruwe Kwa binadamu mchungu.

Kila mtu akatwe Kodi, iwe Masikini iwe tajiri.

Kuwa Masikini sio exceptional ya kutokulipa Kodi.
Tozo ziendelee mpaka fikra za Kupenda maisha ya bure ziishe.
Kupenda kufanyiwa fanyiwa!

Muhimu; Serikali itumie Kodi vizuri, mafisadi na wezi wa Mali za umma watungiwe sheria Kali.
Sio mitozo iwe mingi alafu kuna watu wanaitafuna kimagendo. Hiyo haiko Sawa.
Zamu yetu masikini tunapiga yowe. Wewe ndio miongoni mwa hao matajiri wakubwa aliochukua hela zenu Kwa nguvu?
 
Magufuli aliweza vipi kuendesha nchi kwa miaka 5 bila ya kuwaminya Wananchi kwa kodi na tozo?

Na msiniambie alikopa kwani mpaka Samia anaingia debt to GDP ratio Tanzania ilikuwa one of the lowest Duniani na ndani ya mwaka mmoja deni limeongezeka kwa > 50% sasa aliweza vipi kulipa Mishahara, kujenga Miundo mbinu kama Barabara, Reli, Bandari, Airports, kununua ndege na kufufua shirika la Airtcl, kujenga na kuweka Meli karibia kila Ziwa kubwa Tanzania, kujenga Madaraja kama mto Wami hapo hapo kujenga Dodoma kama Mji Mkuu?

Nijibuni aliweza vipi ? Magufuli was a genius, sasa hivi vilio kila mahali na ndio mwanzo tu, …
Magufuli alihakikisha wafanyabiashara wakubwa wanalipa Kodi STAHIKI kitu ambacho Kwa miaka mingi walikuwa hawafanyi. Sasa hivi tumerudi kule kule ndio maana wanahangaika na tozo. Na hizo hazitoshi kila siku wanaleta tozo ingine.
 
Unaweza nipa mfano wa nchi yo-yoed ile ya kistaarabu yenye hofu ya Mungu na iliyoendelea ambapo masikini wanalipa kodi na siyo matajiri? Hivi kwa masikini unaweza kupata kodi ya maana kuendesha nchi? Kwa pato gani ?

Hakuna nchi yenye hofu ya Mungu Hilo tuliweke Sawa.

Pili, hakuna nchi iliyoendelea ambayo watu Masikini hawalipi Kodi.

Kodi inakatwa Kwa percentage,
Ukitoa 10% ya elfu na aliyetoa 10% bilioni moja wote ni Sawa mmechangia nchi Kwa uwezo wenu.

Lakini sio usitake kutoa Kodi kisa umasikini, labda uwe Mzee, mtoto, au mgonjwa.

Hutaki kutoa Kodi Acha kuishi, rahisi Sana.
Alafu mtu Kodi hataki kutoa kisingizio umasikini wake lakini kuzaa watoto wengi yeye, kuoa wake wengi yeye, kunywa pombe Yeye,
Kama anapata pesa za hayo, iweje akose Tsh 100 ya Kodi Kwa ajili ya nchi yake ambayo anaishi Kwa Amani.

Au anafikiri ulinzi na usalama ni Bure?

Niliwahi kusema, Kama hatutavamia mataifa mengine basi option tuliyobakiwa nayo ni kukamuana Sisi Kwa Sisi.
 
Hakuna nchi yenye hofu ya Mungu Hilo tuliweke Sawa.

Pili, hakuna nchi iliyoendelea ambayo watu Masikini hawalipi Kodi.

Kodi inakatwa Kwa percentage,
Ukitoa 10% ya elfu na aliyetoa 10% bilioni moja wote ni Sawa mmechangia nchi Kwa uwezo wenu.

Lakini sio usitake kutoa Kodi kisa umasikini, labda uwe Mzee, mtoto, au mgonjwa.

Hutaki kutoa Kodi Acha kuishi, rahisi Sana.
Alafu mtu Kodi hataki kutoa kisingizio umasikini wake lakini kuzaa watoto wengi yeye, kuoa wake wengi yeye, kunywa pombe Yeye,
Kama anapata pesa za hayo, iweje akose Tsh 100 ya Kodi Kwa ajili ya nchi yake ambayo anaishi Kwa Amani.

Au anafikiri ulinzi na usalama ni Bure?

Niliwahi kusema, Kama hatutavamia mataifa mengine basi option tuliyobakiwa nayo ni kukamuana Sisi Kwa Sisi.

Kwani wakati wa Magufuli hao unaowaita masikini walikuwa hawalipi?
 
Back
Top Bottom