Magufuli amdiss Wema Sepetu kuhamia CHADEMA

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Magufuli akiwakaribisha wasanii kwenye mkutano wa CCM Dodoma aliwasifu kuwa ni wasanii wazuri na sio kama yule mwingine aliyehamia upande wa pili

 
Ameweza kumzungumzia Wema Sepeku lakini kashindwa kumzungumzia Bashite na vyeti vyake vya kufoji! Eh! Mungu inusuru nchi yetu na hili janga kubwa linaloikabili.
Aaakha! Basi mi nikadhani anasema msanii aliyehamia upande wa pili kwa Zuma! Kumbe super Lady naye anamuumiza kichwa
 
Ameweza kumzungumzia Wema Sepeku lakini kashindwa kumzungumzia Bashite na vyeti vyake vya kufoji! Eh! Mungu inusuru nchi yetu na hili janga kubwa linaloikabili.
Ukitakata kujua nchi imevaa gunia ni kwa maongezi ya huyu bwana. Sasa Wema ndio wakumzungumzia yaani kiongozi wa nchi unasumbuka na watoto wadogo kweli? Safari ya huyu bwana ni ndefu sana kufikia kujitambua. Sio kila jambo la kulizungumzia busara na hekima vipo wapi?
 
Ameweza kumzungumzia Wema Sepeku lakini kashindwa kumzungumzia Bashite na vyeti vyake vya kufoji! Eh! Mungu inusuru nchi yetu na hili janga kubwa linaloikabili.
..... acha nijishangalie tu
 
Reactions: BAK

Wewe una hekima gani?? Au kuwa nyuma ya kikeyboard yako??
 
Uheheni ukiona baba anagombana na wanawe ndani ya nyumba ujue familia inazidi kumshinda. Baadaye huamua aidha kuwa mlevi wa kupindukia, kukimbia familia, kufukuzwa na wanawe au kujinyonga kabisa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…