Wajinga au kujipendekeza?View attachment 480298 "Nyinyi mlio hapa ndiyo wasanii wazuri siyo wale wanaochukuliwa na upande ule kule" - Magufuli
Neno moja kwao wasanii hawa.
Source Eatv
Its yr responsibility to knw tht bcz ni kwa faida yako.ongea kwa namba bro acha povu. nyingi ndiyo tarakimu gani hiyo?
Nenda wewe mahakamani sasa ukawastaki na hao akina mwinyi.Acha ujinga wewe! Mwinyi aliyesema nchi inaenda kama gari bovu haina usukani, Warioba aliyesema nchi imepoteza mwelekeo na Butiku aliyesema Rais anayejiona yeye ni Tembo hatufai Watanzania mbona wote hawa hawajaenda mahakamani!?
Nenda wewe mahakamani sasa ukawastaki na hao akina mwinyi.
Unapomsema magufuli angalia mwenzio katengeneza ajira 200000 huku hujui Tz imetengeneza ngapi ni upuuzi ni heri usingecomment.
Leo hii ndo kajua ccm haifai wakati anaisupport alikuwa hajitambui auLeo ndiyo anamjua sio msanii mzuri, kipindi anawapigia kampeni akuyaona hayo...