Magufuli anacheza na akili za wasanii

Magufuli anacheza na akili za wasanii

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Hiv karibuni tuliona Dkt. Magufuli akitoa kofia yake na kumpa Diamond huko Mwanza. Baada ya kupita siku kadhaa tukaona pia akatoa kofia yake akampa Harmonize.

Leo hii nimeona Alikiba anaperform Bukoba kwenye kampeni za CCM usije ukashangaa pia nae atapewa kofia baada ya wasanii wenzake kupewa haijalishi ataperform vizuri au vibaya lakini kofia lazima apewe labda tu ahofie matarajio ya watu.

Kifupi Magufuli anawachezea Cinema Wasanii.
 
Magu ni takataka, wasanii ni takataka zaidi na wewe ni msukule.

Hapo umekasirika, kuona hilo kapelo halina thamani tena ( kama Diamond aliyokuwa kalipatia, ili ionekane kama vile ni kitu special sana )

Msanii yoyote hata Sholo Mwamba atapewa.
 
Magu ni takataka, wasanii ni takataka zaidi na wewe ni msukule.

Hapo umekasirika, kuona hilo kapelo halina thamani tena ( kama Diamond aliyokuwa kalipatia, ili ionekane kama vile ni kitu special sana )

Msanii yoyote hata Sholo Mwamba atapewa.
Mzee baba unakuaga na hasira Sana sijui hizo hasira unazitoaga wapi? alafu pia mada yangu ujaielewa kabisa umekurupuka Sana kunijibu hoja kuu ni kuwa Magu anawafanya wasanii waonekane sawa na yeye apate attention ndio maana ya kuwachezea cinema.
 
Hawa wasanii wanalipwa kwa kila shoo wanayofanya, sasa kama mnawaona malofa wakati hio ndio biashara yao sawa. Magu anawachezea cinema vipi? Wakati kipindi hiki cha COVID 19 duniani wasanii hawafanyi shoo kabisa lakini hawa jamaa wanapiga pesa tu
 
Mzee baba unakuaga na hasira Sana sijui hizo hasira unazitoaga wapi? alafu pia mada yangu ujaielewa kabisa umekurupuka Sana kunijibu hoja kuu ni kuwa Magu anawafanya wasanii waonekane sawa na yeye apate attention ndio maana ya kuwachezea cinema.
Nakuhurumia tu mkuu.

Unateseka sana.

Binafsi nilikuwa kwenye hali kama yako: Niliwahi kukesha nampigia kura Diamond tuzo za MTV BASE baada ya mademu zake Wema, Jokate kuungana kumpigia kura Davido.

So najua stage uliyopo.
 
Nakuburumia tu mkuu.

Unateseka sana.

Binafsi nilikuwa kwenye hali kama yako: Niliwahi kukesha nampigia kura Diamond tuzo za MTV BASE baada ya mademu zake Wema, Jokate kuungana kumpigia kura Davido.

So najua stage uliyopo.
Mkaruka ulichojibu na ulichoandika mbona Ni vitu viwili tofauti? Tatizo lako unapenda Sana kutanguliza Sana chuki na hasira kwenye hoja zako kuliko akili na ndio maana mtu akiwa na mtazamo tofauti na wako unaona Kama vile ni msukule
 
Hawa wasanii wanalipwa kwa kila shoo wanayofanya, sasa kama mnawaona malofa wakati hio ndio biashara yao sawa. Magu anawachezea cinema vipi? Wakati kipindi hiki cha COVID 19 duniani wasanii hawafanyi shoo kabisa lakini hawa jamaa wanapiga pesa tu
PAGAN naona ujaelewa vizuri mada yangu me sijazungumziwa wasanii kufanya kampeni na kulipwa na CCM hoja yangu haipo uko kabisa Bali kusema Magu kuwachezea a cinema Ni suala la yeye kutoa kofia sio Jambo lingine tofauti na hilo.
 
Sasa hiyo mantiki ya kusema"anawachezea akili" inatoka wapi?...kwani kuna tatizo gani hata akiwapa Wasanii wote kofia yake?.
 
Kuwa kwanza, utakuja kuelewa
Mbona nilivyosifia mke wa Alikiba hapa jamvini na nikamsifia kiba anajua kuchagua wanawake vifaa mbona ukuja hapa kusema me Ni msukule wa Alikiba?
 
Haihitaji kuvalishwa kofia na Magufuli ili kujua mbabe nani,
Kubali kataa huyu ndiye baba lao.
FB_IMG_15990412989980814.jpg
 
Back
Top Bottom