- Thread starter
- #21
Ok. Wewe ulikuwa unatakaje?Mara nyingi sijihusishi na threads za umbeya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok. Wewe ulikuwa unatakaje?Mara nyingi sijihusishi na threads za umbeya.
Hawa wasanii wanalipwa kwa kila shoo wanayofanya, sasa kama mnawaona malofa wakati hio ndio biashara yao sawa. Magu anawachezea cinema vipi? Wakati kipindi hiki cha COVID 19 duniani wasanii hawafanyi shoo kabisa lakini hawa jamaa wanapiga pesa tu
TUSIJE KUWASIKIA WAKILALAMIKA HAPO BADAYE TU, OHH HATUJAPEWA MSHIKO BLH BLHHawa wasanii wanalipwa kwa kila shoo wanayofanya, sasa kama mnawaona malofa wakati hio ndio biashara yao sawa. Magu anawachezea cinema vipi? Wakati kipindi hiki cha COVID 19 duniani wasanii hawafanyi shoo kabisa lakini hawa jamaa wanapiga pesa tu
Ninahisi Magufuli uwa anasoma mambo yanayoendelea mtandaoni, kwa Diamond alimpa kiroho safi, lakini akaja kugundua kwamba imeleta maneno na mpasuko mtandaoni wengine watajiona kwamba hawakubari kama diamond, akaona dawa ni kuwavisha Alikiba na Harmonize pia.Hiv karibuni tuliona Dkt. Magufuli akitoa kofia yake na kumpa Diamond huko Mwanza. Baada ya kupita siku kadhaa tukaona pia akatoa kofia yake akampa Harmonize.
Leo hii nimeona Alikiba anaperform Bukoba kwenye kampeni za CCM usije ukashangaa pia nae atapewa kofia baada ya wasanii wenzake kupewa haijalishi ataperform vizuri au vibaya lakini kofia lazima apewe labda tu ahofie matarajio ya watu.
Kifupi Magufuli anawachezea Cinema Wasanii.
Mkuu, nami naungana na wewe, na pia mleta thread hii. Diamond alipovalishwa ile kofia, ilionekana ni ujiko mkubwa sana, na ikionyesha UFALME hiviii…..kiasi kwamba kuna gazeti fulani liliandika kuwa ile kofia itampatia Tsh. M. 600.Ninahisi Magufuli uwa anasoma mambo yanayoendelea mtandaoni, kwa Diamond alimpa kiroho safi, lakini akaja kugundua kwamba imeleta maneno na mpasuko mtandaoni wengine watajiona kwamba hawakubari kama diamond, akaona dawa ni kuwavisha Alikiba na Harmonize pia.
Ingekuwa kweli anawapa kwa kuwakubari angevishakofia hata wasanii wengine, ila kajua macho yalikuwa kwa harmonize na alikiba kaamua kuneutralize hali ya hewa.
Tendo la Mara ya kwanza lilikuwa ni la kutoka moyono, now anasawazisha mambo tu anataka aifanye iwe kawaida
Ndp hvyo mkuu kaangalia wale wakubwa walioshika mzikiUmeona eeh, kama sio kusawazisha mambo mbona hawapi kofia wakina BillNas na Dogo Janja.
Amempa Hadi kala jelemarah anafanya hivyo ili isionekane anapendeleaUmeona eeh, kama sio kusawazisha mambo mbona hawapi kofia wakina BillNas na Dogo Janja.
Amempa Hadi kala jelemarah anafanya hivyo ili isionekane anapendelea
Wabongo hamjui mnataka nini,angempaa Mondi na Kondeboy peke yao bado kuna wenzio wengekuja na bandiko kama lako linalo sema "Magufuli anawapendea kina Mondi pekee yao hana habari na Wasani wengine" Kumridhisha kila mtu si kazi ndogo mjuwe Wandugu!!Hiv karibuni tuliona Dkt. Magufuli akitoa kofia yake na kumpa Diamond huko Mwanza. Baada ya kupita siku kadhaa tukaona pia akatoa kofia yake akampa Harmonize.
Leo hii nimeona Alikiba anaperform Bukoba kwenye kampeni za CCM usije ukashangaa pia nae atapewa kofia baada ya wasanii wenzake kupewa haijalishi ataperform vizuri au vibaya lakini kofia lazima apewe labda tu ahofie matarajio ya watu.
Kifupi Magufuli anawachezea Cinema Wasanii.
Huyo lazima atakua Mbeligiji,maana ndiyo wanakuwaga na Jazba muda wote!!Mzee baba unakuaga na hasira Sana sijui hizo hasira unazitoaga wapi? alafu pia mada yangu ujaielewa kabisa umekurupuka Sana kunijibu hoja kuu ni kuwa Magu anawafanya wasanii waonekane sawa na yeye apate attention ndio maana ya kuwachezea cinema.
Wwe lazima utakua Mbeligiji! Si kwa Jazba hilo Kama unataka kufa!!Magu ni takataka, wasanii ni takataka zaidi na wewe ni msukule.
Hapo umekasirika, kuona hilo kapelo halina thamani tena ( kama Diamond aliyokuwa kalipatia, ili ionekane kama vile ni kitu special sana )
Msanii yoyote hata Sholo Mwamba atapewa.
Jamaa sijui ana stress nzito zilizomshinda uwezoWwe lazima utakua Mbeligiji! Si kwa Jazba hilo Kama unataka kufa!!
Watu Kama hao huwa hawachelewagi kupata matatizo ya Akili!!Jamaa sijui ana stress nzito zilizomshinda uwezo
Ukipigwa risasi uje jukwaani hapa ukipongeza waliokudhuru huku mimeno yote ikiwa nje.Huyo lazima atakua Mbeligiji,maana ndiyo wanakuwaga na Jazba muda wote!!
Kabla hujahukumu mtu,jaribu kujiridhisha kwanza kwa asilimia mia huyo unaemshuku ndiyo mtendaji mkuu wa tukio lako!!Ukipigwa risasi uje jukwaani hapa ukipongeza waliokudhuru huku mimeno yote ikiwa nje.