Uchaguzi 2020 Magufuli anatamani Ulaya ambayo haipo na haitakuja kuwepo

Uchaguzi 2020 Magufuli anatamani Ulaya ambayo haipo na haitakuja kuwepo

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
14,242
Reaction score
34,903
Nimemsikia mgombea wa urais CCM anasema anataka Tanzania iwe kama Ulaya.

1. Mwambieni hakuna ulaya ambayo imezuia vyama vya upinzani kufanya mikutano ya hadahara na wananchi wake kuandamana.

2. Hakuna Ulaya ambayo imezuia kurusha matangazo ya bunge live.

3. Hakuna Ulaya ambayo imefungia magazeti yanayoikosa serikali. ‬

4. Hakuna Ulayaambayo inawafanya wapinzani ndani ya nchi kuwa ni watu ambao hawana haki.

4. Hakuna Ulaya ambayo imeshindwa kufanya uchunguzi wa kesi za jinai.

5. Hakuna Ulaya na haitakuja kuwepo ambayo ina katiba kama tuliyonayo sisi.

6. Mwambieni Magufuli hakuna Ulaya ambayo inakatiba inayozuia kushitakiwa kwa viongozi wake.

7. Hakuna Ulaya ambayo Rais wa nchi ndie anaye control mhimili wa bunge.

8. Hakuna Ulaya ambayo haiheshimu haki za wananchi wake.

9. Hakuna Ulaya ambayo inatamani matajiri waishi kama mashetani.

10. Hakuna Ulaya ambayo ina sheria zinazo wanyima watuhumiwa wa makosa ya jinai dhamana
 
Ndio maana analazimisha uchumi wa vitu. Ni sawa na mimi leo nitamani kuwa sawa na MO, jitaishia kinunua gari la MO pengine hata nisiweze lakini ji ndoto kufikia uchumi wa MO kwa miaka 10 wakati MO na familia ya wamejenga uchumi wa familia kwa. Miaka zaidi ya 50.
 
Ili ujue anasema ukweli, mara Mungu apeleke Watanzania Uingereza na Waingereza waje Tz, mwaka mmoja Tz itakuwa kama Uingereza.
 
150 years ago ilikuaje?

Maana na wao walipitia certain transformation
 
150 years ago ilikuaje?

Maana na wao walipitia certain transformation
Kwa iyo itatuchukua 150 years kupitia transformation?

Mbona kuna nchi wanafanya transformation in 10/ 20years au 5 years tu. CCM Kwa nini wameshindwa?

Fuatilia Historia za Umoja wa Nchi za Kiarabu, Malyasia, Singapore, Mauritius na Botswana!
 
Hahaaa kwahiyo leo hii Kwa mabeberu kumbe pamekuwa ni pamaana na ni sehemu za kuigwa?
 
Hahaaa kwahiyo leo hii Kwa mabeberu kumbe pamekuwa ni pamaana na ni sehemu za kuigwa?
Hiyo Ulaya itaishia kwenye ndoto zake tu. JK naye aliwandanganya watu kuwa ataifanya Kigoma kama Dubai. Hajawahi hata kuomba msamaha kwa huo uongo!
 
Hakuna Ulaya inayowabambika watu wake vyesi lukuki kisa eti ni wapinzani
 
Nadhani Ulaya Ni ya mabeberu kumbe hata jamaa yetu naye Ana tuelementi za ubeberu
 
Hill lijiwe tuhakikishe baada ya oktoba linaenda kuchekea chooni huko chato
 
Nimemsikia mgombea wa urais CCM anasema anataka tanzania iwe kama ulaya.

1. Mwambieni hakuna ulaya ambayo imezuia vyama vya upinzani kufanya mikutano ya hadahara na wananchi wake kuandamana..
Hata ulaya walijenga nchi zao Kwa kwanza ndio wanaruhusu mambo mengine yaenderehe, uwezi Kuwa unajenga barabara wakati unajenga watu wanataka kuitumia kuandamana, subiri wamalize kujenga uandamane.

Wapinzani hawana jema, walikuwa wanatukana kuwa taifa alina hata ndege moja mpaka tunazidiwa na Rwanda, zimenuliwa wanaanza hooooh ndege inatusaidia nini Watanzania.

Walitaka mtu anayeweza kupambana na rushwa, amewakamata hoo hao wanaonewa wakati mwanzo ndio walikuwa wakizunguka kwenye mikutano yao wakiwataja, wanaboresha uduma za afya ambayo ilikuwa imezorota mda mrefu bado kelele.

Wanajenga mabwawa ya kufulia umeme na kujenga reli ya umeme ili watu wapate unafuu wa usafiri, wameamisha magori eti hayo ni maendeleo ya vitu sio watu. Hawajui kuwa hata Mungu alianza vitu ndipo akafuata mtu.
 
Back
Top Bottom