Uchaguzi 2020 Magufuli anatamani Ulaya ambayo haipo na haitakuja kuwepo

Uchaguzi 2020 Magufuli anatamani Ulaya ambayo haipo na haitakuja kuwepo

Nimemsikia mgombea wa urais CCM anasema anataka tanzania iwe kama ulaya.

1. Mwambieni hakuna ulaya ambayo imezuia vyama vya upinzani kufanya mikutano ya hadahara na wananchi wake kuandamana.

2. Hakuna Ulaya ambayo imezuia kurusha matangazo ya bunge liv10. Hakuna Ulaya ambayo ina sheria zinazo wanyima ...,,
Watu wengi wanafanya kosa la kifikra kwa kufikiria Ulaya ni Majengo/Miundo mbinu/ Vitu tu, na kusahau kitu muhimu zaidi “Watu wa ulaya.”

Ukitaka kuelewa hili fikiria ni nini kitatokea baada ya miaka kumi iwapo tutabadilishana nchi na Taifa moja lililoendelea la Ulaya. Yani sisi twende huko halafu wao waje huku.

Nashahuri kua badala ya “kama Ulaya” kua lengo au kipimo na cha maendeleo yetu (kipimo hafifu sana hichi na nicha muda mfupi), kwanza tuache uvivu wa kufikiri, halafu tukae chini kitaifa na kupanga/kutafuta suluhisho za muda mrefu za matatizo yanayotukabili sasa na yanayoweza kuja mbeleni, halafu tuje na mikakati ya utekelezaji isiyo na chama, dini wala kabila.

Tumepewa na Muumba ubongo wenye nguvu sana. Viongozi;
- acheni kupofushwa na umimi, uchama, ukabila na Udini na anzeni kuona kupitia utaifa na ubinadamu.

- andaeni na tumieni rasimali watu ipasavyo. Msichukie tofauti za mawazo badala yake muweke mazingira ya watu kuchangia mawazo yao katika hali umoja wa kitaifa.
 
Nimemsikia mgombea wa urais CCM anasema anataka tanzania iwe kama ulaya...
Tulieni aongoze nchi ni rais halali na roadmap ya kuongoza kaitoa jana.Ni rais wa vitendo, anayejiamini na matokeo tunayaona, awamu yake ya pili ni kutengeneza mabilionnaire na ataweza kwa sababu he works the talk, ni wachache Afrika wa aina yake.
 
CCM mmetuvurugia nchi yetu. Hakuna mwana CCM yoyote awe Mzee ama Kijana anaweza kumwambia kitu huyu jamaa. Hii damu si ya Kitanzania!

Mkapa aliyemleta katangulizwa. Sasa tunapambana na hali zetu.
 
Upeo wako mdogo tu ndo umekutuma kuandika hivo, ulitaka atamani kuwa Kama mataifa yaliyochini kimaendeleo?
 
Katibu wake MKUU MSTAAFU WA CCM M A. Kinana na Waziri wake Wa Habari WALITAMKA KUWA MAGUFULI NI MSHAMBA OVER.
 
Ukiwa na flaiova, ndege za abiria, SGR, barabara ya lami na bwawa la Mwalimu basi wewe ni ulayaulaya kwani hauna haja kwenda huko kujiselfii.
 
Upeo wako mdogo tu ndo umekutuma kuandika hivo, ulitaka atamani kuwa Kama mataifa yaliyochini kimaendeleo?

Either haujaelewa kilichoandikwa hivyo soma tena uelewe, na kama ni ngumu kuelewa uliza.

AU umefanywa kipofu na ushabiki wa kimahaba kwa mkoloni mweusi, na kama hii ni kweli sina cha kukusaidia.
 
Fanya kazi katiba haileti maendeleo inatoa njia ni jukumu lako kuchangamkia fursa.Utasubiri sana na pole kwa uzembe wako
Kuna kitu hakipo sawa kwenye reasoning yako.

Ushahuri bure:
  • Soma kuelewa na sio kujibu.
  • Ukihitaji kujibu, tumia akili zaidi, weka ushabiki wa kimahaba pembeni.
 
Back
Top Bottom