Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kamanda Evelyne, Pengine Makufuli Aliogopa Swali Kwamba Lowasa Alisema Kipaumbele Cha Kwanza Mpaka Cha Tatu Elimu, Phd Yake Ya Ccm Ambayo Imeshindwa Kumtambua Raisi Wa Iraq! Anaitwa Nani!
Hapo sasa. Labda anaogopa kuulizwa kinachomshangaza wanafunzi kukaa chini au kwa nini maofisa wa serikali wanaishi hotelini wao, wake zao, wajukuu na mbwa zao kwa mwaka mzima huku wakilipiwa na Serikali
Kwanza mwambie ataje kirefu cha BBC.
Leo kwenye taarifa ya habari ya BBC Swahili saa tatu usiku, imeripotiwa kuwa John Magufuli amekuwa akikwepa kila BBC wanapotaka kumfanyia mahojiano. Matumaini yao ilikuwa iwe jana, finally, cha ajabu, jamaa akasepa dakika za mwisho.
Kwa maswali yale aliyopigwa Lowassa, no wonder Magufuli anakimbia. Huu ni udhaifu pia.
Ndio shida yenu, mnadhani kuonekana na Wazungu ni jambo la maana kuliko kujenga nchi yenu...
hahahaha AKAMATWE KWA NGUV
Muda haujawa excuse hata siku moja iwe shule au hata katika maisha, ukikuta mtu anasingizia muda huyo ni mzembe kama wazembe wengine hajui kupangilia muda wake (Time Management),Tatizo wengi wenu humu hamjui ufinyu wa muda ambao chama chetu kinakabiliana nao. Hizi kazi zetu ngumu sana.
Tuliwapa BBC njia mbadala ya kutumia skype katika hayo mahojiano ila halikuwezekana! Hivyo inakuwa ngumu kwetu kushiriki kutokana na sababu niliyoeleza hapo.
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
hat lowasa alipokw anahojw nae alkw anajiknyaga tu na kulalmika kuw anaonelw hyo maguful yupo bze na kampn.
Kuhutubia UN inaweza isiwe ishu. Si atakuwa anasoma tu kwenye karatasi. Halafu na alivyo hodari wa kukariri anaweza akaikariri hata robo tatu nzima ya hotuba.
Kasheshe akiwa sehemu kama Davos kwenye yale ma panel discussions ambapo mtu anakuwa hasomi hotuba.
Je, ataongea Kiswahili na kutumia mkalimani au ataongea Kiingereza?
Mimi natabari atachomoa kabisa kwenda huko Davos.
Anataka kutuaminisha kuwa muda hana hivyo hata kulala halali na hata haja haendi. Hivi kwa nini asingelazimishwa tuu ili watu wamtambue pale anapoulizwa maswali na watu wasio na upande?Muda haujawa excuse hata siku moja iwe shule au hata katika maisha, ukikuta mtu anasingizia muda huyo ni mzembe kama wazembe wengine hajui kupangilia muda wake (Time Management),
kwani vyama vingine vimetoa wapi muda wa kukutana na BBC.
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Magufuli ni mweupe sana kichwani yaani Kardashian.
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...
Akakamatwe kwa nguvu ahojiwe, si anahojiwa kiswahili sa anaogopa nini...