Magufuli aondolewa kwenye group la whatsapp la marais wa Afrika Mashariki

Magufuli aondolewa kwenye group la whatsapp la marais wa Afrika Mashariki

Fasihi ni ngumu sana kuielewa,tafuteni Mtasafiri kabla ya kukoment.
 
kubomolea watu manyumba yao kunyima Uhuru vyama pinzani kufukuza watu kazini bila mpangilio kukataza tiba mbadala sasa hapo ni kuinua wananchi au kuwarudisha kwenye umasikini mtukufu
wa tz tufikie wakati tuache unafiki, sisi ndo tulikuwa wakwanza kumlalamikia mungu atupe kiongoz mchapakaz, leo hi ndo wa kwanza kulaumu,,kama ulitegemea maguful akiingia madarakan atakutetea we uliyejenga mabonden na sehemu zisizoruhusiwa hlo sahau,, HAPA KAZ TU, hakuna kuchat mtandaoni wakati mambo mengi ya kufanya yapo,,viongoz wazembe kama wewe lazima waondolewe haraka na kwa mfululizo ili kuliokoa taifa,, nanukuu: RAIS ALIYE SERIOUS HAWEZI AKA-CHAT MTANDAONI,,,, mi mwenyewe mwanachuo nina kozi 12 si-chat mtandaon sembuse magufuli,,NASEMA HIVI "HAPA KAZI TU, KUCHATI WATACHATI WAKINA KENYATA NA WENZAKE"
 
Back
Top Bottom