Magufuli aongelea unafiki wa Kenya kwenye media na biashara.

Kwa wale wote ambao wameshindwa kutazama video hiyo hadi tamati. Mukhtasari wenyewe kwa ufupi ndio huu hapa. Juisi na pipi kwa afya njema. 😀😀😀
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] by Mh Halima Mdee Ikulu imetumia 123% ya bajeti ya ikula zaidi ya bajeti iliyopagiwa. Hivi hayo matumizi alikua anatumia kwenye nini kama wageni wanapewa pipi na juice? Kweli kuna watu wachoyo na wabinafsi
 
Umeharisha kama kawaida yako
 
Kwa wale wote ambao wameshindwa kutizama video hiyo hadi tamati. Mukhtasari wenyewe kwa ufupi ndio huu hapa. Juisi na pipi kwa afya njema. 😀😀😀
Hayo ndomatumizi mazuri ya kodi za wananchi. Tenaingebidi wasingepewa chochote hizo pesa zikatumika kununuliwa dawa. Ikulu sio hotel au restaurant
 
Hawa jamaa wanacheza na mentality ya Magufuli. Ni raisi asiyejalibiwa.
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] by Mh Halima Mdee Ikulu imetumia 123% ya bajeti ya ikula zaidi ya bajeti iliyopagiwa. Hivi hayo matumizi alikua anatumia kwenye nini kama wageni wanapewa pipi na juice? Kweli kuna watu wachoyo na wabinafsi
Tumejenga uwanja wa Chato na miundo mbinu mingine ambayo pesa yake haikuizinishwa na Bunge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…