joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Sikiliza huo mjadala uone wananchi wanavyokwamishwa na viongozi wa kitaifa, Governor anaweza kumuwajibisha Matiang'i au Mkuu wa KRA?. Jifunzeni toka kwa Magufuli ili muibadilishe nchi yenu.Hahahaha, Is this anything to get over the moon with really? Governors do it here let alone the President.
Umevurugwa sio bure, huyo mzee wenu wa mikwara kwenye diplomasia ni zero! Wakumuiga labda Nkurunzinza saizi yake. Yeye mwenyewe anafaa amuige rais Farmaajo wa Somalia, atajifunza mengi.Sikiliza huo mjadala uone wananchi wanavyokwamishwa na viongozi wa kitaifa, Governor anaweza kumuwajibisha Matiang'i au Mkuu wa KRA?. Jifunzeni toka kwa Magufuli ili muibadilishe nchi yenu.
Kenya acheni kujidanganya, jaribuni kumfanya Magufuli kuwa "your partner not Competitor", The man many years ahead of other Africa leaders in responsive leadership.
Sikiliza huo mjadala uone wananchi wanavyokwamishwa na viongozi wa kitaifa, Governor anaweza kumuwajibisha Matiang'i au Mkuu wa KRA?. Jifunzeni toka kwa Magufuli ili muibadilishe nchi yenu.
Kenya acheni kujidanganya, jaribuni kumfanya Magufuli kuwa "your partner not Competitor", The man many years ahead of other Africa leaders in responsive leadership.
Hahahahaha, hahahahaha. Hapa kazi Tu.Umevurugwa sio bure, huyo mzee wenu wa mikwara kwenye diplomasia ni zero! Wakumuiga labda Nkurunzinza saizi yake. Yeye mwenyewe anafaa amuige rais Farmaajo wa Somalia, atajifunza mengi.
HoyeeeeeeeSasa nani abadilishe nchi? Si yule aliyelala fofofo! ? Hapo naona harakati za KATARIST tu hamna lingine