Elections 2015 Magufuli ataja mafisadi CCM

Mbona hawataji?huyu kilaza anafikiri nchi ni kama barara he!yeye mwenyewe ni fisadi mkubwa kauza nyumba za serekali,amejenga magorofa makubwa kwa mshaharagani?joka mkubwa huyu.

nimeamini chadema wanahusuda na magufuli....kiukweli tuhuma zote wanazompaaa magufuli ukitaka kujuaaa ni za kinafiki wanadai magufuli ni mkali.alikamata meli ya wa Thailand Mara alibomoa Sheri ya mafuta.mara ni dikteta......hahaaaahahahaah yaaani reason za kitoto kupita kiasi aseeeee na unakutaaa jituu zimaaa LA chademaaa na mviiii zakeee linashabikiaaa uo upuuuzi
 
Wapi kataja sasa?
Kwanini asiseme kwa mfano TWIGA anafikaje airport na kupanda ndege?

Halafu hivi kesi ya meno ya TEMBO yaliyo kamatwa Malawi imefikia wapi?
 
Fisadi moja limekimbilia chadema.linaitwa Edward ngoyai Lowassa.akiingia tu huyu ndio wa kuanza nae.

Magufuli ajianze mwenyewe kwa pesa alizopiga Feri kununua kibuko kibovu cha 1978 kwa billion 8, kisha aendelee kujihukumu kwa uuzaji wa nyumba za Serikali kisha akajiuzia nyumba kibao na kuzigawa kwa michepuko na mdogo wake, huku mabilioni yakipotea wizarani kwake kwa kulipa kandarasi feki na penat kibao.akimaliza hapo aendelee na escrow na wengineo hapo italeta Maana.
 
Aanze na jina lake mwenyewe kwa kuwa kalitia Taifa hasara nyingi zikiwemo kuwalipa fidia Meli ya samaki na kituo cha mafuta mwanza,huku Dhambi ya kuuza nyumba za Serikali ikimganda pia, awataje wote waliochukua pesa za escrow kule stanbic bank.
 
Aanze na jina lake mwenyewe kwa kuwa kalitia Taifa hasara nyingi zikiwemo kuwalipa fidia Meli ya samaki na kituo cha mafuta mwanza,huku Dhambi ya kuuza nyumba za Serikali ikimganda pia, awataje wote waliochukua pesa za escrow kule stanbic bank.

Oh na yeye pia akiwa included kwenye hiyo list ....akifanya hivyo kura yangu anayo ,vinginevyo apige japo mbizi kuja kigamboni nitampa kura pia
 

Polisi Musoma inawanyanyasa sana Wafuasi wa Ukawa wale vijana wote waliodeki barabara na kuosha gari ya Lowasa kwa mashati na tshart zao wamebambikiwa Kesi na polisi ili kuwakomoa. Mawakili wa chadema nendeni mkawatete na kuwashitaki wote wenye kuoneza uonevu wa raia
 
Tena akunje vizuri amperekee mamayake akafungie maandazikule EBO!
Nashukuru mkuu kwani walioandika ni NIPASHE ya leo kwa hiyo watamperekea mkuu ingawaje najua na wewe mmoja wa mafisadi hao waliotajwa.
 
mwaka huu hatudanganyiki ng'''''oooo

Shit haka kajamaa kalikouza nyumba za umma mpaka kwa mahawala zake! Halafu kanijifanya kanaweza kushughulikia mafisadi!
Kanifikiri kuongea kama chiriku ndo kutekeleza! Anadhani wenzake hawakuwa na akili,anafikiri ufisadi ni kitu rahisi hajui hata wafadhiri wa nchi yake ni mafisadi pia! Anadhani wachina wamepewa mikataba ya gesi hivi hivi? wamarekani wanaoendesha mitambo ya unene kwa capacity charge siyo ufisadi! Ataishia kwenda kutembeza bakuli tu kama mwenzake!

Tunataka mabadiliko ya system nzima siyo dereva huku gari ni lile lile!
 
Hao mafisi hadi waliopo kwake wana nguvu kubwa kuliko yeye.Akibahatika atanywea tu maana hata polopesa alisema hana ubia na mtu lakini walimnyoosha na wanamnyoosha tu!πŸ˜€πŸ˜€
 
Acha hizo hizi si sababu za kitoto! Meli imelipwa zaidi ya bilion 3 na huko mwanza mwenye kituo cha mafuta alilipwa fidia billion 2 ! Hizi ni sababu za kitoto? Pesa hizi zingeweza kujenga zahati na kununua madawa pia kununua madawati na kuwalipa walimu haki zao, Magufuli si mwadilifu ni mtu wa kukurupuka sana na ukurupukaji wake ndiyo umelitia Taifa hasara kibao zikiwemo za kusitisha hovyo mikataba ya makandarasi na matokea yake wakishinda kesi wanalipwa mabilioni, nyumba za Serikali , kivuko feki, na billion 251 zimeyeyuka wizara ya Ujenzi kwa njia za ufisadi.
 
Yaani nimekuja mbio niwaone hao waliotajwa lol....aibuu si bora akae kimya tuuu....
 
Hao mafisi hadi waliopo kwake wana nguvu kubwa kuliko yeye.Akibahatika atanywea tu maana hata polopesa alisema hana ubia na mtu lakini walimnyoosha na wanamnyoosha tu!πŸ˜€πŸ˜€

Awataje waliofirisi TTCL , ATC , msshirika ya umma , walionunua mabehewa feki na wizi bandarini na Escrow.
 
Kabla ya kuwataja yeye mwenyewe ajitizame kwanza yupo safii?
 
Duuu, hii kweli sanaa! Kama magazeti ya udaku. Habari ndefu but no facts
 
mimi nashangaa hawa wasomi wanaoimba Lowassa ni fisadi..
lakini hawatuelezi ameiba kwenye account gani na ni kiasi gani na kwa ushahidi upi ?
Kama ni richmond basi mtueleze kamati ya bunge ilikula shilingi ngapi,Waziri Karamagi alikula shilingi ngapi na Waziri mkuu wa kipindi hicho kama nae kuna hela alikula ?
nashangaa wanamsahau huyu fisadi alieisababishia Wizara ya ujenzi pekee hasara ya trilioni 1.3 !
 
Huyu mzee wa kukurupuka tu hata hajielewi. Anadhani suala la kudhibiti ufisadi ni sawasawa na kupiga push up jukwaani!
Na ikitokea bahati mbaya akashinda urais huyu mzee atakuwa kwenye wakati mgumu sana, kwani kwa upande mmoja amewaaminisha wananchi kwamba ana uwezo wa kufanya mambo mengi sana, na kwa upande mwingine atakumbana na ile hali halisi ya mfumo, sasa hapo ndio itabidi lazima akubaliane na jambo mojawapo kati ya hayo mawili. Akubali kudhibitiwa yeye na mafisadi ama akimbie urais ili wananchi wamwelewe kwamba kweli alikuwa na nia ya dhati kutumikia wananchi.
lLakini bahati nzuri ni kwamba urais atausikia kupitia tbccm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…