Rais Magufuli leo ametengua rasmi uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), Eng. Felchesmi Mramba.
Aidha Rais amemteua Dkt. Tito Esau Mwinuka kukaimu nafasi hiyo. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwinuka alikuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM).
Yani akifuka Tanesco mkurugenzi
Lazima na TRA afukuze Mkurugenzi!!!
JokaKuu punguzeni Chuki
Haziwasaidii zaidi yakuumiza Nafsi yenu.
Kama Rais ndio huyo
Habadiliki kamwe
Mlie mtaka hakuwa
The old adage "Keep throwing mud on the wall some will stick" sometimes holds true but not always. Can we take stock?Teua tengua, tengua teua.
Nilimuona last year SABC kwenye Kongamano. Jamaa anaonekana yuko vizuri sana. Ni vigumu kupata vichwa vingi kama hivyo Tanzania. Kama umri haujaenda sana nafikiri anaweza kupata kazi somewhere nje!!Ila mbona jamaaa namuonaga anapiga kaz kisomi sana mramba ...ila duh hizi drama ...
Na wa ewura nae mbona kaachwa
kwanza wapunguze expensesKama production costs ni 100 Ths unatakiwa uuzeje ili ujiendeshe?
Dah!!!! Mkuu huo wimbo nauelewa sana, ukiupiga mbele ya raia lazima uchezee vitasa.Aya haya haya sasa kumekuchaaaa sasa kumekuchaa jogoo.limewika taneskooo
Kwani umeme wanaochukua wafanyakazi ni kiasi gani?Naunga mkono Mramba kutumbuliwa...
kosa lake ni kukosa ubunifu, yaan kila wakijisikia tu ni kuongeza Bei ya umeme kwa wananchi? hamna ubunifu mwingine tofauti na kuongeza gharama kwa wananchi?
Kwa nini wasipunguze zile offer za Units kwa wafanyakazi wao? au wazifute kabisa hizo offer...! haiwezekani wafanyakazi takribani zaidi ya mia 500 tuwalipie gharama za umeme afu wao wanapikia majiko ya Umeme kila siku, sisi tunajibana na mkaa au gas wao tuwalipie!! haiwezekani...
Dah Magufuli kumteua Mwinuka sijui kawaza nini? Kati ya sehemu ambazo hutakiwi kufanya majaribio ni Tanesco.. Kama ni kutafuta mtu pale UDSM basi Prof. Kimambo alikuwa anaweza sanaaa ila siyo Mwinuka!! Ila sasa ndo hivyo tena Kimambo anapitia Chalinze Mzee na huwa anakula pale Mombo.. humo hataki hata kuwasikia lakini Kimambo ni bonge la mbunifu!!
Mabosi wa TANESCO wanalipana bonus milioni 60 kwa mtu mmoja kila mwaka wakati shirika linajiendesha kwa hasaraAma kweli CCM ni ile ile. Kwa nini Rais anakwepa to address financial position ya Tanesco inayodidimizwa na wanasiasa wa CCM? Tanesco wanalipa mamilioni ya "dollars" kila siku kununua umeme wa IPTL etc kunufaisha wenye stake humo ambao ni wanasiasa na kupelekea Tanesco kupata tabu kujiendesha. Only way for Tanesco kujiweka Sawa ni raising tariffs na studies zote have maintained kwamba increased tariffs zipo reasonable due to uhalisia wa mambo. Kwanini serikali ilituingiza kwenye mikataba ya ovyo? That's the root cause, sio ewura au Tanesco. JPM mtumbua majipu, inakuwaje hili linamshinda?
CCM chini ya Chama kimoja ndio iliyosaini mkataba wa IPTL, huu ni mradi wa CCM moja kwa moja uliosainiwa Lumumba na ndio unaoitesa Tanesco.
Mramba ameonewa!
Hivi leo sio sikukuu kweli?Rais Magufuli leo ametengua rasmi uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), Eng. Felchesmi Mramba.
Aidha Rais amemteua Dkt. Tito Esau Mwinuka kukaimu nafasi hiyo. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwinuka alikuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM).
Maana yake ni kwamba "alichoumba Mungu ni cha kuliwa/kutafunwa"Sielewi unachomaanisha lakini nimejikuta nacheka
Sinza kubwa mkuu, kuwa specific, mfagizi sinza palestina???? Mfagizi sinza mugabe barabarani??? Mfagizi sinza kumekucha???? Sinza madukani???? Sinza kwa remy???? Sinza rego???? Sinza kamanyola???? Sinza africa sana?? Whiteinn??? .Hivi babake ndo yule mfagiz sinza!?
Kwa hiyo wewe ulitaka bei ya umeme ipande wananchi wazidi kuumia na nyie pro-Chadema mpate pakusemea?Ama kweli CCM ni ile ile. Kwa nini Rais anakwepa to address financial position ya Tanesco inayodidimizwa na wanasiasa wa CCM? Tanesco wanalipa mamilioni ya "dollars" kila siku kununua umeme wa IPTL etc kunufaisha wenye stake humo ambao ni wanasiasa na kupelekea Tanesco kupata tabu kujiendesha. Only way for Tanesco kujiweka Sawa ni raising tariffs na studies zote have maintained kwamba increased tariffs zipo reasonable due to uhalisia wa mambo. Kwanini serikali ilituingiza kwenye mikataba ya ovyo? That's the root cause, sio ewura au Tanesco. JPM mtumbua majipu, inakuwaje hili linamshinda?
CCM chini ya Chama kimoja ndio iliyosaini mkataba wa IPTL, huu ni mradi wa CCM moja kwa moja uliosainiwa Lumumba na ndio unaoitesa Tanesco.
Mramba ameonewa!
Hongera Mh, Rais Mungu akuzidishie hekimaRais Magufuli leo ametengua rasmi uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), Eng. Felchesmi Mramba.
Aidha Rais amemteua Dkt. Tito Esau Mwinuka kukaimu nafasi hiyo. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwinuka alikuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM).