MSIMISEKI SENIOR
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 459
- 287
Duuuh ndo kachomokea tarehe mbaya kwelialikuwa anamlia timing tu mie nilikuwa najua huyu jamaa hachomoki,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuh ndo kachomokea tarehe mbaya kwelialikuwa anamlia timing tu mie nilikuwa najua huyu jamaa hachomoki,
Ntwala hiyo sio ? Kwamba alichokiumba Mungu ni cha kuliwa ? [emoji23][emoji23]Hahahah chumbile nnungu cha kumemena
Hamna cha kafara wala nini...tulimpinga sana huyu mkurugenzi na EWURA juu ya kupandisha bei hawakusikiaNilitegemea Prof Muhongo atumbuliwe kwanza kisha wafuate wa chini yake.
Naona jamaa katolewa kafara
Sasa kama ndio wanajua ata PhD yake unategemea niniNina wasiwas UDSM inaweza kuachwa hoi kutokana na hizi teuzi za mheshimiwa rais!
..duh!
..tra alifukuza bodi akamuacha mkurugenzi mkuu.
..tanesco amefukuzwa mkurugenzi mkuu bodi ya wakurugenzi imeachwa.
..sasa tukisema nchi inaendeshwa kwa mihemko tutakuwa tumekosea?
..halafu anakwenda kuyazungumzia mambo haya
KANISANI!!
Ndio maana tunasema kabla ya kufukuzwa bosi wa tanesco, bosi wa ewura anafanya nini hadi sasa?Leo 1.1.2017 Prof. Muhongo amehojiwa na Radio One na kueleza sababu za kusitisha mpango wa EWURA wa kupandisha bei ya Umeme kwa 8.5% kama ifuatavyo: -
1. Kwenye mikutano ya 'public hearing' nchini kote wadau walipinga myongeza ya bei;
2. hadi jana 31.12.2017 EWURA, kinyume na matakwa ya sheria, haikuwa imepeleka ripoti ya uamuzi wake kwa waziri mwenye dhamana, kujadiliwa na kupitishwa/kuthibitishwa kabla ya kutangazwa kwa pendekezo la bei mpya;
3. Ufumbuzi wa matatizo ya kifedha (madeni) wa TANESCO hauwezi utatuliwa kwa kupandisha bei ya Umeme. TANESCO inatakiwa kuwa na mkakati wa ku-improve efficiency kwenye management yake badala ya kuongeza bei ya Umeme; na
4. Wakuu wa TANESCO hawawpaswi kulipana bonus kila mwisho wa mwaka kiasi cha kufikia Tzs. 60m/- kwa mtu mmoja wakati shirika linashindwa kujiendesha isipokuwa kwa kupandisha bei ya Umeme. Hii inamaanisha kuwa wananchi wakamuliwe ili ipatikane pesa ya mabosi wa TANESCO kulipana bonus! Prof. Muhongo amesema ameagiza hata hiyo bonus isilipwe au irudishwe kwa waliokwisha kulipwa.
Bado wewe , taarifa zinadokeza kwamba cheo chako kimeshikiliwa na kijiuzi kidogo sana , sijui kama unanielewa .
Uko kinyume mkuu,hebu tujaribu kuunganisha hizi dots.Huyu alikuwa mmoja wa watu waadilifu kwenye hii nchi. Na uchafu wa wakina muhongo nashangaa hawa watendaji wanawezaje kufanya kazi
Majibu mazuri sana, yafungulie thread mpya then waambie mods wasiifute au kuiunganisha na thread nyinginezo.Leo 1.1.2017 Prof. Muhongo amehojiwa na Radio One na kueleza sababu za kusitisha mpango wa EWURA wa kupandisha bei ya Umeme kwa 8.5% kama ifuatavyo: -
1. Kwenye mikutano ya 'public hearing' nchini kote wadau walipinga myongeza ya bei;
2. hadi jana 31.12.2017 EWURA, kinyume na matakwa ya sheria, haikuwa imepeleka ripoti ya uamuzi wake kwa waziri mwenye dhamana, kujadiliwa na kupitishwa/kuthibitishwa kabla ya kutangazwa kwa pendekezo la bei mpya;
3. Ufumbuzi wa matatizo ya kifedha (madeni) wa TANESCO hauwezi utatuliwa kwa kupandisha bei ya Umeme. TANESCO inatakiwa kuwa na mkakati wa ku-improve efficiency kwenye management yake badala ya kuongeza bei ya Umeme; na
4. Wakuu wa TANESCO hawawpaswi kulipana bonus kila mwisho wa mwaka kiasi cha kufikia Tzs. 60m/- kwa mtu mmoja wakati shirika linashindwa kujiendesha isipokuwa kwa kupandisha bei ya Umeme. Hii inamaanisha kuwa wananchi wakamuliwe ili ipatikane pesa ya mabosi wa TANESCO kulipana bonus! Prof. Muhongo amesema ameagiza hata hiyo bonus isilipwe au irudishwe kwa waliokwisha kulipwa.
Kwa lugha hii basi amelipiza kisasi kwa mramba maana hiyo ishu ya bonus tanesco walinyanganya na baadae wafanyakazi kwa kushirikiana na TUICO walipigania hiyo bomus kwasababu ipo kisheria. Kwa maelezo hayo bus mimi naona ni matazam finyu sana kwasabau analipwa, na bunus ni shilingi ngapi kwenye upanuzi wa miundo mbinu ya TANESCO4. Wakuu wa TANESCO hawawpaswi kulipana bonus kila mwisho wa mwaka kiasi cha kufikia Tzs. 60m/- kwa mtu mmoja wakati shirika linashindwa kujiendesha isipokuwa kwa kupandisha bei ya Umeme. Hii inamaanisha kuwa wananchi wakamuliwe ili ipatikane pesa ya mabosi wa TANESCO kulipana bonus! Prof. Muhongo amesema ameagiza hata hiyo bonus isilipwe au irudishwe kwa waliokwisha kulipwa.
Ili tuendelee tunahitaji watu,ardhi,siasa safi,uongozi bora na kutumbuaRais Magufuli leo ametengua rasmi uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), Eng. Felchesmi Mramba.
Aidha Rais amemteua Dkt. Tito Esau Mwinuka kukaimu nafasi hiyo. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwinuka alikuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM).
Huwa siwezi kumwelimisha mtu mwenye upeo mdogo wa kufikiri kama wewe siku nyingine usiwe unajipendekeza unarept coment zangu.Hujitambui were
Ajenge yeye fundi!!?
Mmeishiwa hoja
Huyu ndiye Rais wakweli
sidhani km atapona wa ewuraIla mbona jamaaa namuonaga anapiga kaz kisomi sana mramba ...ila duh hizi drama ...
Na wa ewura nae mbona kaachwa
Mkuu wawekezaji wa kitapeli kama IPTL hata wazime mitambo yao hakuna shida maana wanatuibia fedha zetu nyingi kwa mikataba wao wa kitapelwakuu unajua nawaonea huruma sana watanzania wajinga wasiojua haya mambo Tanesco, Baada ya Muongo kuingia aliondoa bonus ya wafanyakazi wa tanesco kinyume cha sheria. Lakini kwasababu wafanyakazi wa tanesco wanajitambua walipiga kelele waziri akabadilisha msimamo wake. Hapa katikati kuna makampuni yamezima mitambo yake kushinikiza tanesco kuwalipa fedha zao, Tanesco wameshindwa kuwalipa wazalishaji. Leo kwa lugha za kusema unawatetea masikini, unaua shirika la umeme. Ngojeni tusubiri, wawekezaji wanakataa kuwekeza kwenye sectoor hizi kwasababu ya tanesco kuchelewa kulipa leo unakuja unajifanya unawatetea wananchi while mmnaenda kinyume ya mikataba .......................let us wait
Vijana wasio na ajira wasomi wataenda kujaza nafasi hizoSasa hawa wahadhiri mbona wanaisha pale UDSM😵😵😵
Kisomi vipi mkuu fafanua basi kiduchu.Ila mbona jamaaa namuonaga anapiga kaz kisomi sana mramba ...ila duh hizi drama ...
Na wa ewura nae mbona kaachwa