emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 543
Kosa ni hilo LA umeme,watupishe na serikal yetu sikivu,huu sio muda wa kuumiza wananchi,nchi hii watu sijui wanasomea nini darasani gesi IPO wanambwelambwela na bei. na wewe Ewura subiri tuvute pumzi.GOOD ENOUGH MY PRESIDAHivi kosa ni nini?
Kwa hiyo wewe ulitaka bei ya umeme ipande wananchi wazidi kuumia na nyie pro-Chadema mpate pakusemea?
Acheni ushabiki mandazi.
Kama kaonewa sababu alitaka kupandisha bei ya umeme na mzigo uendi kwa wananchi acha amuonee tuone kama Tanesco itakufa bila kupandisha bei ya umeme.
Mkuu, mimi nimeweka hilo baada ya kuona kuwa Magufuli amelenga kutafuta mtu pale CoET. Sasa nimeangalia kwa wale waliobaki nikaanza ECSE nikaja kule mining nikaenda Civil kisha nikamalizia na MECHE. Ukweli kwa Mwinuka sijui kaona nini. Pale walau Mgwatu sikuwa na shida na uteuzi wake. Sasa ukiangalia kote huko kiukweli aliyekuwa afadhali ni Kimambo ingawa kweli ule mradi ulikufa chini yake ila alikuwa na majukumu ya kuongoza CoET na kwa uzoefu kamuacha mbali sana Mwinuka. Naona hata Mwinuka huko aliko ameshangaa na najua mpaka sasa haamini kile kilichotokea. Nimejaribu kumcheki kwenye namba yake ya tigo hapatikani ila nitamtafuta tu nijue amepokeaje uteuzi huu!! Ila kwa CoET aliyebaki afadhali baada ya kuondoka kina Mgwatu ni Kimambo na anajua kuongoza sema ndo hivyo tena!! Mwinuka hana maamuzi kabisa na ni mtu wa ndiyo mzee... Ila bila kuficha Kimambo ni mpinzani mkubwa wa CCM. Mwinuka na Mgwatu ambao ndiyo walioonekana na Magufuli ni makada wa kutupwa wa CCM. Labda hicho ndicho kigezo kilichotumika!! Ngoja kwanza nimtafute tena Mwinuka!!Mkuu huwa nakubaliana sana na mabandiko yako lakini umekosea sana kubeza ubobezi wa Mwinuka kwenye eneo lake umahiri yaani Mech Eng. uliposema mambo ya lathe sijui kitu gani. Wakati mwingine jaribu kuwa na staha kama kitu haufahamu.
Pia huyo Kimambo naye ni Mech Eng japo kaspecialize kwenye energy lakini bado ni Mech. na sidhani kama ana sifa za ziada za kusimamia Tanesco. Mradi wa incubator pale Kibaha ulikufa mikononi mwake sembuse Tanesco ataiweza. Nasema hivi purely on belief kwamba usimjaji mtu kwa alichosoma ila kwa uwezo wake wa utendaji. Wote hawa Kimambo na Mwinuka ni academician na sio watu wenye uzoefu kama CEO's
Kama ni Tanesco ni bora angechukua kabisa mtu wa ECSE au BCom. Penye ukweli tu wakweli tuache ushabiki.
kaka mbona kama majungu hiviNaona kaamua kuweka Mhaya ila kwa dkt. Mwinuka ndo kachemsha moja kwa moja!! Namfahamu Mwinuka tena sana.
Haha aisee na sauti ya komba utakula vitasa vya maanaDah!!!! Mkuu huo wimbo nauelewa sana, ukiupiga mbele ya raia lazima uchezee vitasa.
Nachelea kuendelea kujadiliana na wewe lakini ni wazi humfahamu Mwinuka kama unavyotaka kujiaminisha hapa. Hata huyo Kimambo humfahamu. Mi pro UKAWA( nisome mabandiko yangu yote). Nimefanya kazi ka karibu na wote Kimambo na Mwinuka. Hamna ukweli unaousema hapa. Tuishie hapa mkuu.Mkuu, mimi nimeweka hilo baada ya kuona kuwa Magufuli amelenga kutafuta mtu pale CoET. Sasa nimeangalia kwa wale waliobaki nikaanza ECSE nikaja kule mining nikaenda Civil kisha nikamalizia na MECHE. Ukweli kwa Mwinuka sijui kaona nini. Pale walau Mgwatu sikuwa na shida na uteuzi wake. Sasa ukiangalia kote huko kiukweli aliyekuwa afadhali ni Kimambo ingawa kweli ule mradi ulikufa chini yake ila alikuwa na majukumu ya kuongoza CoET na kwa uzoefu kamuacha mbali sana Mwinuka. Naona hata Mwinuka huko aliko ameshangaa na najua mpaka sasa haamini kile kilichotokea. Nimejaribu kumcheki kwenye namba yake ya tigo hapatikani ila nitamtafuta tu nijue amepokeaje uteuzi huu!! Ila kwa CoET aliyebaki afadhali baada ya kuondoka kina Mgwatu ni Kimambo na anajua kuongoza sema ndo hivyo tena!! Mwinuka hana maamuzi kabisa na ni mtu wa ndiyo mzee... Ila bila kuficha Kimambo ni mpinzani mkubwa wa CCM. Mwinuka na Mgwatu ambao ndiyo walioonekana na Magufuli ni makada wa kutupwa wa CCM. Labda hicho ndicho kigezo kilichotumika!! Ngoja kwanza nimtafute tena Mwinuka!!
Umeme na maji viliacha kukatika katika mara tu baada ya Magufuli kuwa raisToka alipoteuliea mramba kwa maoni yangu na kwa mara ya kwanza niliona tanesco wakifanya vizuri kwenye kutoa huduma kuliko wakurugenzi wote waliopita,,zile kelele za uooooo tulishazisahau ila si muda mrefuu zinarudiii
Acha awanyoshe maana hawasikii bado EwuraRais Magufuli leo ametengua rasmi uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme nchini(TANESCO), Eng. Felchesmi Mramba.
Aidha Rais amemteua Dkt. Tito Esau Mwinuka kukaimu nafasi hiyo. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwinuka alikuwa mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam(UDSM).
Kwanza huyu jamaa amechelewa kutumbulia. Alikuwa anapwaya sana. Mtu wa "bonus". Bonus gani wakati shirika linachechemea.Asante
ahahahahahha mtalima sana nyie.huyu si nasikia ni kati ya wale ambao mkulu analalamika kunawatu wanaficha pesa!!!!! ndo mana kuna ukataMkuu,ni kweli znanyesha?
Vingapi viko bei ya juu na wanyonge mnaojifanya kuwatetea wanakufa kwa kuvikosa na ni vya serikali?Kosa ni hilo LA umeme,watupishe na serikal yetu sikivu,huu sio muda wa kuumiza wananchi,nchi hii watu sijui wanasomea nini darasani gesi IPO wanambwelambwela na bei. na wewe Ewura subiri tuvute pumzi.GOOD ENOUGH MY PRESIDA
ktk gvt hii ukipewa power huna mamlaka ya kutumia power hiyo, mpaka umuulize bosi!