FANYAFANYA
Member
- Jan 31, 2011
- 8
- 0
mi nafikiri wanaigunga wangemwuliza huyo waziri wa magamba alikuwa wapi miaka yote?kwanini hakujenga hilo daraja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko wapi ritz aka mwita25 aka rejao, kishongo aka philanderer atetee matumbo?
leo taarifa ya habari ya itv imemuonyesha waziri magufuli akitoa ahadi kibao za ujenzi wa madaraja na makalvati huko igunga akiwa pamoja na naibu waziri wa maji ambaye naye katoa ahadi zake ,
hivi jamani hawa watu wameenda kama makada wa magamba au mawaziri wa serikali? Na kama wameenda kama makda wa ccm je hii si rushwa ya mchana kweupe?
Ile sheria ya gharama za uchaguzi walishaigalagaza siku nyingi, walipoona imemshinda ****** siku hizi wameiacha kabisa, inasubiri kufutwa tu
Leo taarifa ya habari ya ITV imemuonyesha waziri Magufuli akitoa ahadi kibao za ujenzi wa madaraja na makalvati huko igunga akiwa pamoja na naibu waziri wa maji ambaye naye katoa ahadi zake ,
Hivi jamani hawa watu wameenda kama makada wa magamba au mawaziri wa serikali? na kama wameenda kama makda wa CCM je hii si rushwa ya Mchana kweupe?
Nitawalaani sana wapiga kura wa Igunda wakikubali kudanganyika tena na tena. Je ina maana tangu waanze kuwachagua viongozi kutoka ccm hawajawahi kuahidiwa kujengewa barabara, madaraja na kupatiwa maji? Kama walikuwa wakipewa ahadi hizo ni kwa nini mpaka leo hazijatekelezwa? Katika uchaguzi huu walitakiwa kuwa wanasikia ahadi mpya maana za miaka hiyo zinatakiwa ziwe zimeshafanyiwa kazi.
Nitawalaani sana wapiga kura wa Igunda wakikubali kudanganyika tena na tena. Je ina maana tangu waanze kuwachagua viongozi kutoka ccm hawajawahi kuahidiwa kujengewa barabara, madaraja na kupatiwa maji? Kama walikuwa wakipewa ahadi hizo ni kwa nini mpaka leo hazijatekelezwa? Katika uchaguzi huu walitakiwa kuwa wanasikia ahadi mpya maana za miaka hiyo zinatakiwa ziwe zimeshafanyiwa kazi.
Imeandikwa atakaye mlaani mwenzake basi yeye ata laaniwa mara mia zaidi! Usifanye hivyo dada magwanda uta laaniwa na magwanda yako,sawa dada mweupe!