Magufuli azidi kugonga vichwa vya habari, wenye akili wazidi kumpongeza kwa namna anavyopambana na Corona

Magufuli azidi kugonga vichwa vya habari, wenye akili wazidi kumpongeza kwa namna anavyopambana na Corona

Kwanza kabisa lazima ujue kwamba kuna vyanzo vinasema Corona inaua .5% to 1% ila vyote ni vigumu kupata figure ya ugonjwa ambao kuna percent wanaopata hawajui hata kama wanao, (asymptomatic) na wengine wengi wanakufa kwa Corona vifo vyao vinakuwa unreported bila kujua denominator ni wangapi wameugua ni vigumu kujua wanaokufa kama wengine hawakufa kwa Corona.... (hence the figure might be heavily under-estimated).

Hence tusijikite kwenye percent ya wanaokufa kwa Corona (ambayo ni vigumu kupata 100 percent ni ngapi) ila ya 2% will work even better kwenye argument yangu...., Pia kumbuka percent ya wanaokufa pia inatofautiana kati ya umri, na afya ya watu husika (jambo ambalo ninarudi kule kule kwenye point yangu) itakuwa ni uchizi kwa watu ambao wana-more percent ya vulnerable people uwaambia wafanye kama wewe ambao unao wachache..., pia ni mauaji sababu/kama unao vulnerable people wachache ndio useme bora liende hence kuwatokomeza....

Tujikite kwenye crucial point ingawa ukitaka pia twende kwenye differences ya mortality / morbidity tunaweza kufungua uzi tukaendelea huko
Wacha maneno mengi, Epidemiologists wameshafanya research na kukubaliana kwamba Morbidity rate ni 5% na mortality rate is below 2%, wacha maneno mengi
 
Wacha maneno mengi, Epidemiologists wameshafanya research na kukubaliana kwamba Morbidity rate ni 5% na mortality rate is below 2%, wacha maneno mengi
Jibu hoja sio kuhamisha magoli na kuleta shortcut... tuelezane kama tumetoka kwenye issue ya kupongezana na ushindi katika Corona na watu waige tunayofanya.... na sasa hivi tunabishania mortality rate ?

Kuna kipindi Wuhan China (Corona ilivyoanza) Mortality rate kwa data zao ilikuwa 5.6; Kuna kipindi nadhani march mwaka jana WHO walisema / walidhani Mortality ni 3.6%

Ila ukweli ni kwamba ni vigumu kujua watu waliokufa kwa Corona vizuri; bila kujua wangapi wanaokufa wana Corona sababu sio vifo vyote vipo reported (hususan Africa) pili kuna wanaopata Corona hata hawajui kama wana Corona (kwahio hawa wakifa) kifo kinaweza kudhaniwa kwamba ni jambo lingine na sio Corona.... (kumbe cause ni Corona)
 
Back
Top Bottom