valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
Hapo nampa hongera, kafanya kweli na maamuzi magumu, lakini mbona kawaacha wakubwa akina Bashite si naskia bado wanapeta. Bora hilo shoka lingewaangukia wote, wakubwa kwa wadogo, ila kwa yote nampa hongera maana itawapa uwoga watu wanaotumia vyeti fake.
ameelewa maneno sio maana!Masikini hata kikichoandikwa umekielewa kweli?
Lakini Wabongo, huwa mnatuita wezi.....hivi hao wote walikua na vyeti feki ndani ya serikali???? Najua hata Kenya wamo, lakini a freaking 10,000 civil servants with fake certificate and you still call yourself the most honest society.
Ushachafua hali ya hewa. MK254 ni jubilee damu! Hujaskia Kenyans are born decided... huyu anatooka viunga vya mlima nanii kuleeeMkuu, sababu MAGU ni rafiki wa Raila, mpeni kura ili akopi TZ, kama tulivyokopi rwanda ! Circle!! Hii ni strategy Mkuu!
Jeshi na polisi wabaki tuu huko..Asisahau na jeshi na polisi kumejaa vyeti feki huko.
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
kwa mambo ya maendeleo, nampa Kenyatta tick...ila ikija kwa mambo ya ufisadi na mambo ya ukabila, nepotism and favoritism, nampa Fail...Odinga alikuwa waziri Tena mwenye Dhamana kubwa
Uhuru niwakati wake huu
Lakini Ame dunda kwenye Rushwa na ufisadi
Hizi hongera sawa na ngonjera tu. JWTZ, Police Units, etc kuna uwozo mkubwa uko wa ivyo vyeti feki mbona kimya kaufyata mkulu. Usione tabu kumwambia badala yake unakuja na hongera eti maamuzi magumu. Ndio nyie mkuu kajamba unasifia ushuzi.Hapo nampa hongera, kafanya kweli na maamuzi magumu, lakini mbona kawaacha wakubwa akina Bashite si naskia bado wanapeta. Bora hilo shoka lingewaangukia wote, wakubwa kwa wadogo, ila kwa yote nampa hongera maana itawapa uwoga watu wanaotumia vyeti fake.
Tatizo wala siyo sijui Bashite or whatever, na mpaka sasa hakuna mwenye uthibitisho wowote na huyo Makonda original hajulikani mpaka leo. Tatizo kubwa ni Makonda kuwataja hadharani WAUZA MADAWA, Hivyo hata leo akifukuzwa URC Kama hawatamuua kama Amina Chifupa basi na hoja yao ya vyeti ITAFIA HAPOHapo nampa hongera, kafanya kweli na maamuzi magumu, lakini mbona kawaacha wakubwa akina Bashite si naskia bado wanapeta. Bora hilo shoka lingewaangukia wote, wakubwa kwa wadogo, ila kwa yote nampa hongera maana itawapa uwoga watu wanaotumia vyeti fake.
Sasa kama Kenya wapo ila hujui wangapi utashangaaje 10,000 waTanzania? Je kama mnao 15,000? Kafanye utafiti ukipata idadi njooni hapa tushangae pamoja!
Mkuu, sababu MAGU ni rafiki wa Raila, mpeni kura ili akopi TZ, kama tulivyokopi rwanda ! Circle!! Hii ni strategy Mkuu!
Huyo ni msukule wa bibititiameelewa maneno sio maana!
Hapo nampa hongera, kafanya kweli na maamuzi magumu, lakini mbona kawaacha wakubwa akina Bashite si naskia bado wanapeta. Bora hilo shoka lingewaangukia wote, wakubwa kwa wadogo, ila kwa yote nampa hongera maana itawapa uwoga watu wanaotumia vyeti fake.
goodEconomy & Politics
Magufuli fires nearly 10,000 civil servants
Friday, April 28, 2017 15:51
Tanzanian President John Magufuli. FILE PHOTO | NMG
Tanzanian President John Magufuli has sacked 9,932 public workers after a report found that they were using fake certificates.
Speaking after receiving the report on public servants certificates verification on Friday, he directed that salaries for the 9,000 plus employees for this month be withheld.
He also directed the Prime Minister, Kassim Majaliwa, to declare the posts that were being held by the fake certificate holders be announced vacant.
“They are thieves like any other thieves… you cannot perform if you don’t have deserving qualifications,” he said.
He further ordered that others whose certificates have been found to have discrepancies be treated legally “so that they could be jailed for seven years as per the law.”
The Tanzanian leader noted that operations to verify public servants' certificates will compliment an earlier exercise by the government to root out phantom employees.
He said the State was losing Tsh19.84 billion monthly (around Sh915 billion) to ghost workers.
Tanzania said that a total of 435,000 civil servants had their certificates verified, with 9,932 of them found to be in possession forged certificates.
Hivi Kenya hamna wale wenye vyeti feki?
vitambulisho vipi hivyo? Vile ambavyo Al Shaabab wanavitumia kila siku?Kukosekana kwa vitambulisho vya taifa nahisi kunachangia vingi na hili likiwemo. Kenya wana vitambulisho vya taifa toka miaka ya zamani kwaiyo inakua vigumu (not impossible) mtu kubadili jina na kutumia la mtu mwingine isitoshe, inakua rahisi zaidi kufatilia na kumkamata tofauti na ilivyo hapa bongo
How does one relate to the other?vitambulisho vipi hivyo? Vile ambavyo Al Shaabab wanavitumia kila siku?