MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Hahahakwa mambo ya maendeleo, nampa Kenyatta tick...ila ikija kwa mambo ya ufisadi na mambo ya ukabila, nepotism and favoritism, nampa Fail...
ila anapenda Amani
japo mkabila
ila kazi kwenu
muendelee na Uhuru au la