Hahahakwa mambo ya maendeleo, nampa Kenyatta tick...ila ikija kwa mambo ya ufisadi na mambo ya ukabila, nepotism and favoritism, nampa Fail...
Anakuambia Tanzania imempata kiongozi asiye Mwana siasaMagu anajua...uyu Ndio raisi tunaemtaka acha afanye kazi
Hahaha.... pumua kidogo manake hilo povu! Mi nltania tu! Kumbe wa mlimani! Hehehe... wakenya bhanaUswahiba wao ni mambo yao binafsi, sio kigezo kamili cha mimi kumpa wa kwetu kura. Pia kumbuka kuna vitu Magu anafanya kwenu huko ambapo akiyafanya Kenya anapigwa chini mara moja, la vyeti amefanya vyema lakini kuna mengine siwezi fagilia.
Halafu huyu Raila swahiba wake Magu, aliwahi kuwa waziri mkuu, na tuliyaona wenyewenye, ufisadi na ukabila kwenye ofisi yake hivyo hamna lolote jipya tunalolisubiri iwapo akaongoza nchi, na hao ameungana nao na kujadili jinsi ya kugawana mamlaka wote wametajwa kila kila aina ya tuhuma. CC: hydrogen
naona unafurahia sana heheHahaha
ila anapenda Amani
japo mkabila
ila kazi kwenu
muendelee na Uhuru au la
Ushachafua hali ya hewa. MK254 ni jubilee damu! Hujaskia Kenyans are born decided... huyu anatooka viunga vya mlima nanii kuleee
Ashaanza kutoa vitisho, anajua ataiba kura the other Ruto in NASA is a winning card for RAO as he will devide Rift Valley vote. UHURUTO hawatoboi..Hahaha
ila anapenda Amani
japo mkabila
ila kazi kwenu
muendelee na Uhuru au la
they r irrelevant i am pretty sure the numbers of forgeries are way higher in Kenya in comparison to TanzaniaHow does one relate to the other?
Kwani polisi ni wanasiasa!:'(Asisahau na jeshi na polisi kumejaa vyeti feki huko.
Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ningemuona wa maana angempa Bashite Mkuu wa Mikoa yote ya Tanzania awataje wenye vyeti feki kama alivyofanya kwenye madawa ya kulevya.
Hahaha.... pumua kidogo manake hilo povu! Mi nltania tu! Kumbe wa mlimani! Hehehe... wakenya bhana
Alafu yule mama waziri aliechomolewa kwa Ufisadi niliskia atagombea ugavana? Alifikia wapi?
Hao Jeshi/Polisi wenye vyeti feki ndio majambazi makubwa mkuu.Jeshi na polisi wabaki tuu huko..
Tutaongeza robbery tuu kwa mtaa
Ashaanza kutoa vitisho, anajua ataiba kura the other Ruto in NASA is a winning card for RAO as he will devide Rift Valley vote. UHURUTO hawatoboi..
Now are talking about the alshabaab, national I'D or fake certificates? Can't you hold a flowing conversation like a normal person?they r irrelevant i am pretty sure the numbers of forgeries are way higher in Kenya in comparison to Tanzania
And among them there are famous ones with exemption.Lakini Wabongo, huwa mnatuita wezi.....hivi hao wote walikua na vyeti feki ndani ya serikali???? Najua hata Kenya wamo, lakini a freaking 10,000 civil servants with fake certificate and you still call yourself the most honest society.
Usijali utaelewa when the time is right hehehe. ..Heheehe!! Hadi leo huwa sielewi hili neno 'povu' mnalitumia kwa context ipi, maana nielewavyo sivyo huwa naoa mnatumia. Mimi nilifanya kumjibu jamaa tena bila jazba wala nini na pia nikampa facts chache.
Utakua unaongea kuhusu mama yupi? Maana wapo wawili walipigwa chini kwa sababu za ufisadi, mmoja Mrs Ngilu akapokewa na upinzani na wa pili anaitwa Mrs Waiguru. Halafu wote wamefuata ugavana ila Mrs Waiguru ndiye amefaulu kuskilizwa na wananchi wa kwake kijijini.
Usijali utaelewa when the time is right hehehe. ..
Nilikua naongelea huyo waigulu, si ndo kenyatta na ruto walimkingia kifua bashite style hadi dakika za mwisho?
Vizuri kama amefaulu. hapo akifanikiwa kuwa gavana hizo bilioni zikishaisha ndo ata "blow the whistle" hehehe..... nae si wa mlimani?