Kessy Wa Kilimanjaro
JF-Expert Member
- Jan 23, 2016
- 327
- 208
- Thread starter
- #21
Itakuwa ukoo au family yako inahusika na sehemu au genge moja linalokamuliwa kipindi hiki,
Sisis wananchi tunamuunga mkono aendelee kukamua tena aongeze speed zaidi ya sasa
Sio uko wala familia inayo husika kwenye hiyo biashara. Kama kitu siyo halali na ni kosa hauhitaji kuhusika ili uweze kusema kwamba ni kosa. Nyinyi wananchi wangapi. Au ni wewe mwenyewe tu. Je hao wafanya biashara sio wananchi? Kama unataka aendelee kukamua ngoja mpaka wafanya biashara wote waondoke uone madhara ya serikali kujifanya mbabe kwenye biashara.