Magufuli hana hekima ya kuendesha uchumi

Itakuwa ukoo au family yako inahusika na sehemu au genge moja linalokamuliwa kipindi hiki,

Sisis wananchi tunamuunga mkono aendelee kukamua tena aongeze speed zaidi ya sasa

Sio uko wala familia inayo husika kwenye hiyo biashara. Kama kitu siyo halali na ni kosa hauhitaji kuhusika ili uweze kusema kwamba ni kosa. Nyinyi wananchi wangapi. Au ni wewe mwenyewe tu. Je hao wafanya biashara sio wananchi? Kama unataka aendelee kukamua ngoja mpaka wafanya biashara wote waondoke uone madhara ya serikali kujifanya mbabe kwenye biashara.
 
Unataka akumbatie wafanyabiashara ambao wanahujumu uchumi na kukwepa kodi ?

Mfanya biashara hawezi kuhujumu uchumi. Ni serikali inayoweza kuhujumu uchumi, na ndiyo ilifanya uchumi uwe mbaya. Tatizo ni sheria zinazo zuia mashindano kwenye hiyo sekta ya kuuza sukari. Kodi za bandarini na kodi ju ya wafanya biashara hazifai. Tunahitaji kuziondoa kama tunataka bei ishuke.
 
Kazungushe mikono na Freeman aje akushikie akili hyo ndo kaskazini na majuha
 
Watu mnatumia neno kuhujumu uchumi bila hta kujua maana yake.
 
kama sijasahau mtoa mada ni mpinga Mungu.kuna uzi alileta humu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…