THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,950
- 13,527
Friends and Enemies, Greetings!
Hatuwezi endelea kuishi katika kivuli cha lawama kwa mwendazake hasa katika mambo ambayo yeye aliyafanya huku akiamini kwamba huenda alikuwa anaijenga Tanzania ya ndoto yake.
Binadam tumeumbwa kusahau, ila kama nchi tutakuwa tunafanya makosa sana kusahau japo kwa sekunde moja uvunjaji wa sheria uliofanyika katika suala la wabunge wa Chadema hawa covid 19 ambao kiukweli siyo tuh sakata hilo limevunja katiba, bali pia linafuja pesa zetu za jasho la kodi yetu.
Kuna kila dalili kwamba suala hilo lilipata baraka kutoka kwa mwendazake na Job Ndugai akatumika kama rubber stamp ya kuhitimisha suala hilo kibabe bila kujali katiba, wala sheria huku akijua kuwa ana backup ya Dola.
Swali kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla, ni kipi kinawafanya waendelee kusugua miguu chini juu ya suala hili? Je, wana matumaini kuwa Job Ndugai atameza matapishi yake na kurud nyuma akatenda haki?
Pili, let's say walikuwa wanahofu ya mkono wa chuma wa mwendazake, mwendazake sasa keshaondoka, hofu yao ni nini kufanya mobilization kwa wanachama wake?
Mbowe na Chadema wako kwenye mission ya kuhamasisha katiba mpya; siyo jambo baya na ni kweli tunahitajio,Ila hili la Covid 19 mbona hatuliskii Tena?wameshalishana yamin tayar na hawa wabunge wao?
Tuanze na Kitila Mkumbo, Zitto kabwe, Halima Mdee, Patrobas Katambi, Peter lijualikali, Vicent Mashinji, Mwita Waitara, Joshua Nassari, Wibroad Slaa na wengine wengi, ni watu ambao kwa namna moja ama nyingine wamepita kwenye MIKONO ya Mbowe na Chadema.
Lakin ondoka ondoka yao kutoka chadema na kuchukuliwa na CCM kunaacha maswali mengi Sana kwetu sisi wananchi, nayo ni:
1. Either mbowe ni mjinga sana.
2. Mbowe ni mwerevu Sana ila anasalitiwa na hawa jamaa huku akihujumiwa na Dola.
3. Mbowe ni sehemu ya Dola,I mean he's party and parcel of a big project.
4. Au Mbowe anatengeneza mapinduz indirect way kwa kuwatumia hawa hawa jamaa zake,kwamba anatuma jeshi lake kuwajoin Ili baadae aje kuwadestroy, sielewi.
Ukimya wake na chama chake na kuonesha dalili ya kuchoka kutolea majibu suala lenye ukakasi kama hili la Covid 19 kwa vitendo kunatia shaka Sana kuhusu nia ya dhati ya wapinzan katika kuongoza nchi hii.
Je,wanastahili kuchukuliwa seriously au CCM bado haijapata mbadala wake katika kuongoza Taifa hili.
Hatuwezi endelea kuishi katika kivuli cha lawama kwa mwendazake hasa katika mambo ambayo yeye aliyafanya huku akiamini kwamba huenda alikuwa anaijenga Tanzania ya ndoto yake.
Binadam tumeumbwa kusahau, ila kama nchi tutakuwa tunafanya makosa sana kusahau japo kwa sekunde moja uvunjaji wa sheria uliofanyika katika suala la wabunge wa Chadema hawa covid 19 ambao kiukweli siyo tuh sakata hilo limevunja katiba, bali pia linafuja pesa zetu za jasho la kodi yetu.
Kuna kila dalili kwamba suala hilo lilipata baraka kutoka kwa mwendazake na Job Ndugai akatumika kama rubber stamp ya kuhitimisha suala hilo kibabe bila kujali katiba, wala sheria huku akijua kuwa ana backup ya Dola.
Swali kwa Mbowe na Chadema kwa ujumla, ni kipi kinawafanya waendelee kusugua miguu chini juu ya suala hili? Je, wana matumaini kuwa Job Ndugai atameza matapishi yake na kurud nyuma akatenda haki?
Pili, let's say walikuwa wanahofu ya mkono wa chuma wa mwendazake, mwendazake sasa keshaondoka, hofu yao ni nini kufanya mobilization kwa wanachama wake?
Mbowe na Chadema wako kwenye mission ya kuhamasisha katiba mpya; siyo jambo baya na ni kweli tunahitajio,Ila hili la Covid 19 mbona hatuliskii Tena?wameshalishana yamin tayar na hawa wabunge wao?
Tuanze na Kitila Mkumbo, Zitto kabwe, Halima Mdee, Patrobas Katambi, Peter lijualikali, Vicent Mashinji, Mwita Waitara, Joshua Nassari, Wibroad Slaa na wengine wengi, ni watu ambao kwa namna moja ama nyingine wamepita kwenye MIKONO ya Mbowe na Chadema.
Lakin ondoka ondoka yao kutoka chadema na kuchukuliwa na CCM kunaacha maswali mengi Sana kwetu sisi wananchi, nayo ni:
1. Either mbowe ni mjinga sana.
2. Mbowe ni mwerevu Sana ila anasalitiwa na hawa jamaa huku akihujumiwa na Dola.
3. Mbowe ni sehemu ya Dola,I mean he's party and parcel of a big project.
4. Au Mbowe anatengeneza mapinduz indirect way kwa kuwatumia hawa hawa jamaa zake,kwamba anatuma jeshi lake kuwajoin Ili baadae aje kuwadestroy, sielewi.
Ukimya wake na chama chake na kuonesha dalili ya kuchoka kutolea majibu suala lenye ukakasi kama hili la Covid 19 kwa vitendo kunatia shaka Sana kuhusu nia ya dhati ya wapinzan katika kuongoza nchi hii.
Je,wanastahili kuchukuliwa seriously au CCM bado haijapata mbadala wake katika kuongoza Taifa hili.