Uchaguzi 2020 Magufuli kakosea sana kampeni zake mkoani Mara. Je, haujui mkoa ule au hapendi watu wake?

Magu mzee wa visasi sipati picha mitano ijayo,
kwa upinzan anaokutana nao kweny kampeni.
yy alitegemea kusifiw kwa kununua vindege na flyover zake ambazo hazijakmilik,
ingaw kwwny ahad zake hazikuwemo.
Hapiti safari hii maana 2015 hakushinda kihalali na lowassa akaamua kukaa kimya , Sasa huyu lissu sio wa kukaa kimya ..patachimbika
 
Mwanza pale kuna ziwa kuanzia kisesa Busekwa Nyansia uko maji hamna wanachota kwenye madimbwi ya mifugo

Imekaliwa na ccm
Nenda mkoa wa kagera Muleba
Wamezungukwa na ziwa
Hamna maji vijiji vyote kuanzia wilayan naomba ccm wawe wapinzan hawamu moja wajifunze na waache dharau
 
Kwa kauli hizo za kibaguzi nilitarajia TBC wakate mawasiliano na kisha tume imkemee.
 
ukifanya makosa kipindi hiki jimbo lenu mkachagua mbunge au diwani kutoka chama cha upinzani mfahamu imekula kwenu au kwa lugha rahisi mtasahau maendeleo.
hakuna kuremba mwaka huu. chagua tu ccm ili kujihakikishe maendeleo ya jimbo lako.
 
Hadi nansio ukerewe ni taabu tupu.
 
Umenena vyema. Kama kuwa Katibu Tarafa sio sawa na Ukurugenzi, sasa nikuulize, Makamu Mwenyekiti wa chama ambaye hajawahi kufanya kazi ya Makamu Mwenyekiti kwasababu alikuwa nje ya nchi, anaweza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?
Kama jiwe kaweza kuwa rais wa Tz,basi hata Matonya ombaomba anaweza kuwa rais wa Tz.
 
Jimbo la morogoro vijijini kuanzia ngerengere mpaka mkulazi mvua ikinyesha hakupitiki tena, mbunge na madiwani wote ni ccm tangu nchi hii ipate uhuru.
Wananchi ndio wanaoteseka na bado hawafanyi mabadiriko.🤔
Huwa wanawaahidi nini wananchi sasa hao wabunge na madiwani? Au ndio wameridhika na hiyo hali miaka yote hiyo?🤗
 
Na leo JPM kapita Kisesa anawalazimisha wamchague.

Sasa mbona alikuwepo mbunge wa CCM na hawana maji ya bomba.?!
 
Wananchi ndio wanaoteseka na bado hawafanyi mabadiriko.🤔
Huwa wanawaahidi nini wananchi sasa hao wabunge na madiwani? Au ndio wameridhika na hiyo hali miaka yote hiyo?🤗
Yani tuna hatari si kidogo
 
Kama kuna mtu mwenye namba ya simu ya daktari wa akili, tafadhali wapatie wasaidizi wa bwana yule, maana zimeshamruka. Aibu hii haivumiliki. Kwa muendelezo hu kuna siku atakuja kufanya kituko kitakachokumbukwa milele. Kwa Sasa wenye hekima zao na ushawishi ndani ya chama wameamua kuchutama, na huo ndiyo uungwana. Mwacheni aendelee kuswampa mwenyewe akiwa mtupu wa akili, busara na hekima.
 
Akipita, basi watu asiowapenda atawashughulikia vibaya mno.

Wengi wataumia.
 
Halafu mu MSHAURI JPM AACHE KUTISHA WAPIGA KURA kwamba hatawafanyia maendeleo kwa vile wanachagua upinzani.
Kwani ana uhakika gani kwamba atashinda?

Mbona anazungumza Kama vile mshindi wa Urais keshapatikana (ambaye ni Yeye) na sasa anafanya kampeni kwa ajili ya wabunge na madiwani?
 
Wananchi ndio wanaoteseka na bado hawafanyi mabadiriko.🤔
Huwa wanawaahidi nini wananchi sasa hao wabunge na madiwani? Au ndio wameridhika na hiyo hali miaka yote hiyo?🤗
Tena wanateseka kweli kuna watu wamezaliwa huko hawajui barabara ya lami, umeme au maji ya bomba na ccm ndio mtawala wao.
 
We bwana mdogo ni kwamba baada ya kupewa ukurugenzi ndiyo imebainika kapwaya vibaya, mkurugenzi kila siku kwenda kukagua vyoo vya shule na zahanati, Kama unaampenda ndugu yako ni vyema umshahuri afanyie kazi mapungufu.
Wivu tu!
 
Kilosa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…