Magufuli kiboko ya masikini; Mtetezi wa Matajiri

Magufuli kiboko ya masikini; Mtetezi wa Matajiri

Ee Mungu nisaidie nisiwe masikini. Napambana nitapambana. Sitakufa masikini. Umasikini ni kitu kibaya.
 
Mtoa Mada, kuna maskini wa aina mbili

1) Mvivu, hapendi kujishughulisha na kazi, karidhika na maisha ya chini aliyo nayo, anatapanya kila hela anayoipata.

2) Anafanya kazi sana kwa bidii na maarifa, anabana hela ili aje kuiwekeza, kila siku anajaribu kubuni mbinu mpya za kujikwamua toka kwenye umaskini na anazifanyia kazi, lakini bado anafeli

Ww unamzungumzia yupi? ROBERT HERIEL
 
Je wewe muandishi ni masikinii au tajiri??
 
Yesu aliwahi nae kuwachota masikini akili
Akawaambia ati ni rahisi kwa ngamia kupita kunako tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa Mungu

Acha masikini washangalie ---- yesu ilipofika jioni akaingia kwa zakayo akala chakula cha jioni

Daaah -- nimecheka sana katika hiyo scenario "

Kwa namna moja au nyingine nakubaliana na wewe kabisa without any doubts. hakuna jambo baya na lenye fedheha kubwa duniani kama umasikini
 
Mkuu maskini nimtu anayeshindwa ku- Afford basic need, Food, shelter and clothes sasa umeona lini Mtu anayekosa hivyo vitu akamshangilia Jpm.

Sijakataa.
Ukiambiwa masikini pia yupo chini ya dola moja utasemaje?
Ukiambiwa nchi masikini akili yako inakuambia nini?
Ili uwe masikini yakupasa uwe mjinga sana, mvivu kupitiliza, tegemezi, maiti, au uwe mgonjwa sana, lofa, punguani, usiyejiongeza, mtegaji, mpenda vya bure, mlalamishi,n.k.

Mtu wa hivyo hajawahi pendwa na yeyote
 
Mungu huchukia umasikini

Mwenye nacho atazidi kuongezewa asio nacho hata kile kidogo atanyang'anywa. Sipo hapa kuwafariji masikini wapumbavu. Mungu mwenyewe aliyewaumba hawataki wala hawapendi, sidhangai wakiteseka kwa njaa, magonjwa, uchafu, na mambo ya hovyo.

Ili uwe masikini lazima usiwe karibu na Mungu. Masikini hajithamini, na kamwe hathaminiki. Masikini hajipendi, na kamwe hapendeki.

Masikini wamejaa unafiki hasa wawapo na watu wenye pesa, utayakuta yanacheka cheka hata kwa mambo ya kipuuzi, masikini ndio wanaongoza kwa usaliti. Masikini ndio wanaimani za ajabu hujawahi ona, uchawi, ushirikina, kijicho, roho mbaya, masengenyo.

Masikini anaona umasikini wake kapangiwa na Mungu, haahah! Kwa nini Mungu asiwachukie. Masikini wanafurahi mtu mwenye mafanikio akidondoka, bado hujanielewa tuu.

Masikini anachoweza kukifanya ni kulalamika na kulaumu wengine. Awali nilisema masikini ni dini tena imani kama zilivyo imani zingine. Imani hujengwa na matendo, matendo hujenga mazoea, mazoea hujenga tabia. Hatimaye Tabia ya kimasikini.

Hakuna mtu wa Mungu popote aliyekuwa masikini, maandiko yapo, mtu anaweza zaliwa masikini lakini kuendelea kuwa masikini ni uzembe wake.
 
Yesu aliwahi nae kuwachota masikini akili
Akawaambia ati ni rahisi kwa ngamia kupita kunako tundu la sindano kuliko tajiri kuuona ufalme wa Mungu

Acha masikini washangalie ---- yesu ilipofika jioni akaingia kwa zakayo akala chakula cha jioni

Daaah -- nimecheka sana katika hiyo scenario "

Kwa namna moja au nyingine nakubaliana na wewe kabisa without any doubts. hakuna jambo baya na lenye fedheha kubwa duniani kama umasikini

Imagine leo unafanikiwa ati masikini wanasema wewe ni Freemason, mara sijui unatumia ndumba, wakati wewe ukifanya kazi wao wanakuona, ukihenyeka wao walikutazama, kipindi ukisota hawakukuambia wewe ni Freemason, subiri utusue utasikia kila hadithi.

Masikini wanapenda kutiwa moyo hata kwa upuuzi.

Ili ujue masikini ni watu wa ajabu, embu ona hii; Matajiri wakipondwa na mtu yeyote huwezi kuwasikia matajiri wakilalamika au kunung'unika, pengine usisikie hata wakitoa maoni yao. Kwanza huo muda hawana. Kama watasikia wataishia kucheka na kumdharau aliyeongea mashudu yake, pengine wamuone alikuwa anatania. Lakini Njoo kwa masikini. Masikini watolee maneno ya kawaida tuu, labda waambie masikini ni wavivu, wazembe, na wapenda miujiza kwenye maisha. Utawasikia masikini wakija juu, ooh! unadharau, ooh! aliyekupa wewe katunyima sisi, mara oooh! Ipo siku yangu tuu wakati limeshinda limelalal au kijiweni halifanyi kazi.

Matajiri mbona wao wapo kimya, Yesu mwenyewe aliwapiga kijembe akiwaambia ni vigumu wao kuiona pepo lakini walijua wapi watamnasa, walijua kwenye sadaka na zaka atakamatwa, kwenye ujenzi wa hekalu, kwenye kula na malazi.

Masikini ndio walimsulubisha Yesu, matajiri wakamtafutia mafuta ya kuupaka mwili wake alipokufa, kisha tajiri mmoja akajitolea kaburi lake litumike kuuhifadhi mwili wa Masihi.. Matajiri ndio waliomletea Yesu zawadi siku alipozaliwa.

Angalia hata watakaomchukulia na kumdhamini mgombea yeyote hapa Tanzania na duniani kwa ujumla ni matajiri.

Kosa kubwa ambalo mtu anapaswa kujihadhari nalo ni kuwatetea masikini, masikini hana umoja, masikini ni mnafiki, masikini hana shukrani, wote waliowatetea masikini waliishia pabaya na hawakupata msaada. Muangalie Lisu anavyohangaika huko Ulaya, alafu muulize anaowapigania wanasemaje juu yake, au muulize masikini yeyote anamchukuliaje Lisu. Utashangaa.

Lakini ukiwatetea matajiri kwanza utapata ujiko, utapeleka tonge mdomoni, ikiwezekana utapata cheo. Huoni watu wanahangaika kumtetea Magufuli, wanajua ukimtetea mtu tajiri naye atakutetea lakini masikini utashangaa atakavyokuacha solemba.

Waulize kina Mdude Chadema, waulize kina Ben Saanane, wote hao walichagua kundi bovu.

Ujumbe huu sio wa wakwako
 
Ni kweli, halafu maskini habebeki... mfano mzuri uchebe

kumbe unajua alafu unajifanya mgumu.


Imagine leo unafanikiwa ati masikini wanasema wewe ni Freemason, mara sijui unatumia ndumba, wakati wewe ukifanya kazi wao wanakuona, ukihenyeka wao walikutazama, kipindi ukisota hawakukuambia wewe ni Freemason, subiri utusue utasikia kila hadithi.

Masikini wanapenda kutiwa moyo hata kwa upuuzi.

Ili ujue masikini ni watu wa ajabu, embu ona hii; Matajiri wakipondwa na mtu yeyote huwezi kuwasikia matajiri wakilalamika au kunung'unika, pengine usisikie hata wakitoa maoni yao. Kwanza huo muda hawana. Kama watasikia wataishia kucheka na kumdharau aliyeongea mashudu yake, pengine wamuone alikuwa anatania. Lakini Njoo kwa masikini. Masikini watolee maneno ya kawaida tuu, labda waambie masikini ni wavivu, wazembe, na wapenda miujiza kwenye maisha. Utawasikia masikini wakija juu, ooh! unadharau, ooh! aliyekupa wewe katunyima sisi, mara oooh! Ipo siku yangu tuu wakati limeshinda limelalal au kijiweni halifanyi kazi.

Matajiri mbona wao wapo kimya, Yesu mwenyewe aliwapiga kijembe akiwaambia ni vigumu wao kuiona pepo lakini walijua wapi watamnasa, walijua kwenye sadaka na zaka atakamatwa, kwenye ujenzi wa hekalu, kwenye kula na malazi.

Masikini ndio walimsulubisha Yesu, matajiri wakamtafutia mafuta ya kuupaka mwili wake alipokufa, kisha tajiri mmoja akajitolea kaburi lake litumike kuuhifadhi mwili wa Masihi.. Matajiri ndio waliomletea Yesu zawadi siku alipozaliwa.

Angalia hata watakaomchukulia na kumdhamini mgombea yeyote hapa Tanzania na duniani kwa ujumla ni matajiri.

Kosa kubwa ambalo mtu anapaswa kujihadhari nalo ni kuwatetea masikini, masikini hana umoja, masikini ni mnafiki, masikini hana shukrani, wote waliowatetea masikini waliishia pabaya na hawakupata msaada. Muangalie Lisu anavyohangaika huko Ulaya, alafu muulize anaowapigania wanasemaje juu yake, au muulize masikini yeyote anamchukuliaje Lisu. Utashangaa.

Lakini ukiwatetea matajiri kwanza utapata ujiko, utapeleka tonge mdomoni, ikiwezekana utapata cheo. Huoni watu wanahangaika kumtetea Magufuli, wanajua ukimtetea mtu tajiri naye atakutetea lakini masikini utashangaa atakavyokuacha solemba.

Waulize kina Mdude Chadema, waulize kina Ben Saanane, wote hao walichagua kundi bovu
 
Mwenye nacho atazidi kuongezewa asio nacho hata kile kidogo atanyang'anywa. Sipo hapa kuwafariji masikini wapumbavu. Mungu mwenyewe aliyewaumba hawataki wala hawapendi, sidhangai wakiteseka kwa njaa, magonjwa, uchafu, na mambo ya hovyo.

Ili uwe masikini lazima usiwe karibu na Mungu. Masikini hajithamini, na kamwe hathaminiki. Masikini hajipendi, na kamwe hapendeki.

Masikini wamejaa unafiki hasa wawapo na watu wenye pesa, utayakuta yanacheka cheka hata kwa mambo ya kipuuzi, masikini ndio wanaongoza kwa usaliti. Masikini ndio wanaimani za ajabu hujawahi ona, uchawi, ushirikina, kijicho, roho mbaya, masengenyo.

Masikini anaona umasikini wake kapangiwa na Mungu, haahah! Kwa nini Mungu asiwachukie. Masikini wanafurahi mtu mwenye mafanikio akidondoka, bado hujanielewa tuu.

Masikini anachoweza kukifanya ni kulalamika na kulaumu wengine. Awali nilisema masikini ni dini tena imani kama zilivyo imani zingine. Imani hujengwa na matendo, matendo hujenga mazoea, mazoea hujenga tabia. Hatimaye Tabia ya kimasikini.

Hakuna mtu wa Mungu popote aliyekuwa masikini, maandiko yapo, mtu anaweza zaliwa masikini lakini kuendelea kuwa masikini ni uzembe wake.


What a massage🎶🎶🎶🎵🎵🎼💉💉💉💊💊💊📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
Nunua Cadbury nakuja Lipia mkuu
 
Back
Top Bottom