Magufuli km kijana wa miaka 18, yupo imara

Magufuli km kijana wa miaka 18, yupo imara

Hiyo ilikuwa pushup ya kumkejeli Lowasa. Mwambie apige Leo kama ana ubavu huo .

After all huyo unayemkejeli hakupenda awe hivyo. Bali ni madhalimu na mabaradhuli yenye kiu na njaa za damu ya WaTz .
juzi juzi kapiga. Ndio hiyo unayoiona. Sijui utasema weka ipi tena..
Hii hapa link ni siku chache zilizopita...
 
Back
Top Bottom