Magufuli km kijana wa miaka 18, yupo imara

Hiyo ilikuwa pushup ya kumkejeli Lowasa. Mwambie apige Leo kama ana ubavu huo .

After all huyo unayemkejeli hakupenda awe hivyo. Bali ni madhalimu na mabaradhuli yenye kiu na njaa za damu ya WaTz .
juzi juzi kapiga. Ndio hiyo unayoiona. Sijui utasema weka ipi tena..
Hii hapa link ni siku chache zilizopita...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…