Magufuli lawa neno jipya la Kiswahili maarufu Kenya

YEHODAYA

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2015
Posts
36,902
Reaction score
52,001
Kenya mtu akifanya vizuri wanamwita Magufuli.Kwa mfano fundi mzuri wa magari wanamwita Magufuli wa Magari,Mwalimu mzuri wa Hisabati wanamwita Magufuli wa HIsabati.Kwa jinsi lilivyosambaa Kenya laweza ingizwa kwenye kamusi ya kiswahili likimaanisha mtu mahiri katika kitu fulani

Mfano mzuri soma hapa uone neno Magufuli LILIVYOTUMIKA kwa wenzetu

================



Chanzo: CapitalFM
 
YEHODAYA lawa jina kituko la CHAMA CHA MAJIPU katika mitaa ya Lumumba.
 
Kenya na tanzania ni sawa tu hivyo msubiri kuhenyeshwa icc
 
Mjilaumu sana kwa kubadili gear angani...Mahakama ya Mafisadi inawadia na hakuna mtu fisadi atabaki salama mpaka mgomeba wenu
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, nawaoneeni nyinyi viwavi maana 90%ya mafisadi wa tanzania wapo ccm
 
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, nawaoneeni nyinyi viwavi maana 90%ya mafisadi wa tanzania wapo ccm

Ndio maana CCM inafanya mabadiliko na mageuzi makubwa sana kimfumo na kimaadili...bahati nzuir kubwa la mafisadi limejificha kwenu baada ya kunyimwa nafasi CCM na kukumbilia kwenu na kulipatia nafasi ya kugombea urais...CCM kinatakasika wakati CHADEMA kinanajisika...
 
Tunaisubiri kwa hamu sana hiyo mahakama ili maccm yaliyo mengi yaozee jera

Ni kweli wachafu na mafisadi wote wa CCM watawajibishwa...kazi kwenu sasa maana mnapokea mafisadi yote yanayokimbia kutoka CCM...
 
same to "WAMAKONDE"
....chochote kilicho karibu yake ni jina zuri tu.
kofuli.
mpini
nyundo
fagio
n.k!!
 
Hayo mabadiliko yaliyofanyika ni yapi?
 
Dr slaa ni rais wa wana lumumba, wala mihogo

Dr. Slaa hana kadi ya CCM na mpaka wiki moja tu kabla hamjabadili gear angani alikuwa Rais wa mioyo yenu...tangu mlikaribishe kubwa la mafisadi Slaa kawa shetani na kijarida chenu cha Tanzania Daima ndio kinaongoza kumtukana kwa sasa...
 
Vipi nyoka mwenye makengeza naye yupo cdm?tibaijuka mama wa 10million ela ya mboga yupo cdm?waliogawana noti za escrow wapo cdm?
 
Hayo mabadiliko yaliyofanyika ni yapi?

Kulitimua kubwa la mafisadi lililotaka kugombea urais kupitia CCM na likaimbilia CHADEMA likienda na vijifisadi vidogo kama Mahanga na vingine...
 
Vipi nyoka mwenye makengeza naye yupo cdm?tibaijuka mama wa 10million ela ya mboga yupo cdm?waliogawana noti za escrow wapo cdm?

Nyoka wa makengeza ndio nani?

Tibaijuka alifanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…