Magufuli lawa neno jipya la Kiswahili maarufu Kenya

Magufuli lawa neno jipya la Kiswahili maarufu Kenya

Vipi nyoka mwenye makengeza naye yupo cdm?tibaijuka mama wa 10million ela ya mboga yupo cdm?waliogawana noti za escrow wapo cdm?
Nyoka wa makengeza ana kalia kiti cha enzi Na kuliongoza bunge tukufu??? Ajabu sana hii
 
Dr. Slaa hana kadi ya CCM na mpaka wiki moja tu kabla hamjabadili gear angani alikuwa Rais wa mioyo yenu...tangu mlikaribishe kubwa la mafisadi Slaa kawa shetani na kijarida chenu cha Tanzania Daima ndio kinaongoza kumtukana kwa sasa...
Ni vizuri ukajipanga mkuu,nenda kale mihogo na huyo dr na mboga murua ipo dodoma ile ya kijani
 
Na hii ndiyo CHADEMA...
Chadema ni chama dume na hapo bado utaipenda tu
1454833651653.jpg
 
Kenya mtu akifanya vizuri wanamwita Magufuli.Kwa mfano fundi mzuri wa magari wanamwita Magufuli wa Magari,Mwalimu mzuri wa Hisabati wanamwita Magufuli wa HIsabati.Kwa jinsi lilivyosambaa Kenya laweza ingizwa kwenye kamusi ya kiswahili likimaanisha mtu mahiri katika kitu fulani

Mfano mzuri soma hapa uone neno Magufuli LILIVYOTUMIKA kwa wenzetu

I won't go slow, the 'Magufuli' of Education tells Ndunda - Capital News
Hawa wanajhua TUNU tuliyonayo Go Magufuli GO!
 
Kweli ni neno jipya hapo Kenya,
Rafiki mkenya majuzi kanitamkia "usiwe mkurupukaji kama magufuli"
 
Ni furaha kufahamu Mheshimiwa wetu anapaa nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom