habari ya hapa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 12,791
- 8,749
Nyoka wa makengeza ana kalia kiti cha enzi Na kuliongoza bunge tukufu??? Ajabu sana hiiVipi nyoka mwenye makengeza naye yupo cdm?tibaijuka mama wa 10million ela ya mboga yupo cdm?waliogawana noti za escrow wapo cdm?
Hiyo ndio ccm mkuuNyoka wa makengeza ana kalia kiti cha enzi Na kuliongoza bunge tukufu??? Ajabu sana hii
Mkuu kwa maswali yako haya naona wewe siyo mtanzaniaNyoka wa makengeza ndio nani?
Tibaijuka alifanya nini?
Nyoka wa makengeza ana kalia kiti cha enzi Na kuliongoza bunge tukufu??? Ajabu sana hii
Ni vizuri ukajipanga mkuu,nenda kale mihogo na huyo dr na mboga murua ipo dodoma ile ya kijaniDr. Slaa hana kadi ya CCM na mpaka wiki moja tu kabla hamjabadili gear angani alikuwa Rais wa mioyo yenu...tangu mlikaribishe kubwa la mafisadi Slaa kawa shetani na kijarida chenu cha Tanzania Daima ndio kinaongoza kumtukana kwa sasa...
Hiyo ndio ccm mkuu
Chadema ni chama dume na hapo bado utaipenda tuNa hii ndiyo CHADEMA...
Chadema ni chama dume na hapo bado utaipenda tuView attachment 321634
Jiangalie nyuma yako kuna watu wanakuja
Hawa wanajhua TUNU tuliyonayo Go Magufuli GO!Kenya mtu akifanya vizuri wanamwita Magufuli.Kwa mfano fundi mzuri wa magari wanamwita Magufuli wa Magari,Mwalimu mzuri wa Hisabati wanamwita Magufuli wa HIsabati.Kwa jinsi lilivyosambaa Kenya laweza ingizwa kwenye kamusi ya kiswahili likimaanisha mtu mahiri katika kitu fulani
Mfano mzuri soma hapa uone neno Magufuli LILIVYOTUMIKA kwa wenzetu
I won't go slow, the 'Magufuli' of Education tells Ndunda - Capital News
Yes ccm inajisafisha mfano mzuri ni kumsafisha chenge na kumpa uenyekiti wa bunge.Chama kinaendelea kudafishwa...by JK
Unaelewa maana ya kuendelea kusafishwa ?Yes ccm inajisafisha mfano mzuri ni kumsafisha chenge na kumpa uenyekiti wa bunge.
Kudafishwa...!!!! Maana yake nini?Chama kinaendelea kudafishwa...by JK
Kudafishwa...!!!! Maana yake nini?
KUsafishwa!!Kudafishwa...!!!! Maana yake nini?
Nimekusoma mkuu. Ila tumieni Jik au Vim kukisafisha, ni kichafu sana!KUsafishwa!!
Muda wa kutumia JIK ulishapita...kama yule mchafu mkuu amesepeshwa hawa waliobaki wanahitaji mbuni tuNimekusoma mkuu. Ila tumieni Jik au Vim kukisafisha, ni kichafu sana!