kwani degree zake alisoma kwa kiswahili???
mwacheni pombe aingie Ikulu achape kazi hagombei uwaziri wa Mambo ya nje mbona Rais wa China hajui kingereza. Hapa kazi tu
Hiv rais wa china anajua hata english kweli?... mi nadhqn hiyo siyo ushu hasa kwa wazalendo...labda kuwe na sababu nyingine.....hasa yenye mashiko
Magufuli anatosha kuwa rais mtekekezaji. Kwanza wengi humu JF wana digrii lkn hicho kiingereza cha kufanyia ksxi ni hoi. Hata barua ya kuomba kazi mpaka waandikiwe. Mwacheni rais Magufuli axungumze mradi anaeleweka na tunamshauri azungumze kiswahili tu popote hata akiwa na wageni ili tujivunie kiswahili.
Siyo tujivunie kiswahili Bali tumfichie aibu!!!!!
Hakuna aibu kwani ni uamuzi wa kutotumia lugha ya kigeni na kukienzi kiswahili. Magufuli atakuwa rais wa watanzania sisi tukimwelewa inatosha. Aamue tu kuwa na mkalimani itapendeza sana na ataheshimika kwa uamuzi huo. Ndiyo moja ya mabadiliko.
hivi karibuni mgombea urais kwa tiketi ya ccm akiwa jukwaani aliongea kingereza ambacho sikukielewa,hebu wataalamu nisaidie "YOU WAS LEADER"
Hiyo aina shida Mbona raisi wa Trinidad and Tobago hajui kiingereza sembuse Magufuli wetu acheni hizooo
Leteni Hoja zenye nguvu tuzijadili hapa
Pia amesema Mwanza inapakana na DRC
I am poritisian I don't want to talk many many words
Wetin dey hap'n for here sabi, you dey talk like an incojobogus. No wahala; English never be your language.I am poritisian I don't want to talk many many words
Kachoka jamani, kampeni tz yote sio lelemama
hivi karibuni mgombea urais kwa tiketi ya ccm akiwa jukwaani aliongea kingereza ambacho sikukielewa,hebu wataalamu nisaidie "YOU WAS LEADER"