Magufuli na Biswalo nani alikuwa Shujaa! Wametufunza kupambana na Rushwa?

Magufuli na Biswalo nani alikuwa Shujaa! Wametufunza kupambana na Rushwa?

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Sheria kali za uhujumu uchumi zilianzishwa na JIWE a.k.a SHUJAA, na pia ndizo zilizoibua mafisadi waliokwepa kodi na kuhujumu nchi, kama alivyoeleza yey mwenyewe!

Magu alikuwa anafanya ziara za kushtukiza pale TPA na kila mara kukuta flow meter imechezewa, yaani watu wanajichotea mafuta na kupeleka kwenye vituo vya mafuta kwa ule ukali wa Magu, sasa kpindi hiki cha Kizimkazi hajawahi kufanya ziara hapo TPA sijui hivi vituo vitakuja kujengwa hadi juu ya magorofa.

Je, kama Nchi tunaeleka pazuri ama pabaya kwa utawla kukaa kimya?

x.png
 
UKiona tajiri alihimili kipindi cha Magufuli jua huyo alikuwa tajiri halali wa michongo walikimbia na kuishia kulalamika sasa ni kipindi chao wamerudi wote mawaziri ndio wezi wenyewe nani wa kuwakemea!
 
Sheria kali za uhujumu uchumi zilianzishwa na JIWE, na pia ndizo zilizoibua mafisadi waliokwepa kodi na kuhujumu nchi, kama alivyoeleza yey mwenyewe!

Magu alikuwa anafanya ziara za kushtukiza pale TPA na kila mara kukuta flow meter imechezewa, yaani watu wanajichotea mafuta na kupeleka kwenye vituo vya mafuta kwa ule ukali wa Magu, sasa kpindi hiki cha Kizimkazi hajawahi kufanya ziara hapo TPA sijui hivi vituo vitakuja kujengwa hadi juu ya magorofa.

Je, kama Nchi tunaeleka pazuri ama pabaya kwa utawla kukaa kimya?

View attachment 2848844
SHUJAA NI BISWALO KAPIGA MABILIONI YA PLEA BARGAINING HAKUNA ALICHOFANYWA NA BADO WAKAMPA NA UJAJI
JIWE NI MWOGA AKAAMUA KUFA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Biswaloo khaa kampangisha WCB Dimond jumbaa kifahari alilokeapua kutoka mtuhumiwa.. plea bargaining yaani iko waziiiii.....kodi inaenda mdogo wake aibuuu
 
Back
Top Bottom