Magufuli: Nikiwa Waziri nilinyweshwa sumu na viongozi waliochukia utendaji kazi wangu, nilitaka kujiuzulu

Uko sahihi huyu mzee huwa ni muongo haijapata kutokea

..inawezekana alipata food poisoning, yaani alikula chakula kibaya, halafu yeye akaamini kuwa amelishwa sumu.

..kama aliwekewa sumu then hatua gani zilichukuliwa? Na yeye sasa hivi si Raisi nini kimemzuia kuchukua hatua?

..Magufuli ambaye ukimkosoa anaona umemtukana anaweza kweli kumvumilia mtu aliyemlisha sumu na kutaka kumuua?
 
Hivi CCM kuna nini kila mtu sumu lakini sisi wengine risasi CCM ni janga la taifa

CCM ilifikia wakati jinsi wasivyoaminiana ,kila mmoja alikuwa anaingia na chupa yake ya maji mkutanoni!!!
 
..inawezekana alipata food poisoning, yaani alikula chakula kibaya, halafu yeye akaamini kuwa amelishwa sumu.

Kama ingekuwa sumu kweli asingepona!!! Upewe POLONIUM alafu upone?
 
Pls spare my ribs jaman..had nimechoka kucheka jaman
Mtu umeshakuwa maarufu, lakini bado unatafuta umaarufu, ili iweje?!. Alinyweshwa sumu ya aina gani? nani alimnywesha?.

Yeye alikuwa ambitious kama binadamu wengine, akakanyaga wenzake, na alifahamu kawakanyaga .

Sasa akaingiwa woga, mtu wa aina hiyo hata akijikwaa kawaida atasema karogwa.
 
Hilo tukio la kunyweshwa sumu la mzee Magufuli, lina akisi sehemu ndogo tu ya roho ngumu na michezo ya kila siku ya hao wanasiasa, mbali ya uchawi, ni wakatili msiwaone hivyo.
Kumbuka tukio la Lissu, na viongozi wengine waliopotea katika ajali za kutatanisha.
 
Alilishwa sumu ya aina gani...aseme kama ni Cyanide au ni nini? Hayo mambo ya kusema " Nililishwa sumu" au "nililogwa " au nini sijui halafu unashindwa kutoa details huo ni uongo mtupu, Alikuwa na ugonjwa wake ambao hataki kuusema aache uongo au kusingizia. Hatua gani ilichukuliwa baada ya yeye kulishwa sumu??? Au ndiyo anawalipizia akina Lissu, Ben Saanane, Azzory na wengine anaoendelea kuwapoteza. HAYO NI MANENO YA MKOSAJI....Magonjwa yako yanafahamika tangu ulivyokuwa unaenda kwa babu wa Loliondo
 

Kitabu cha Mkapa sasa topic za kiki za nini. Kila mtu anataka yeye ndiye aongelewe sad mpeni mzee Mkapa heshima yake
 


🤣🤣🤣umebold mbaya🤣🤣🤣🤣..huyu hanaolote ni attention seeker!sijui yukoje tu
 
Imeniuma sana kusikia kuwa Rais wangu alipitia jaribio kubwa kama hilo!
ama kweli baadhi ya binadaamu ni wabaya kuliko wanyama. Watanzania acheni kuoneana wivu makazini, acheni chuki, acheni majungu, acheni fitina na unafiki, haya mambo ndio yanawaumiza wengi.

Pole sana Rais wetu mpendwa, tunakuombea Mungu aendelee kukulinda daima! Viongozi wote hakikisheni mnaondoa majungu na fitina kazini kwani mambo hayo huzaa uadui.
 



Acha uzandiki ww!kama hujui sanaa kaa kimya!huu uzi ni wa kaole sanaa group!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…