Probably the whole thing begins with our behaviours, and that is what compels God to give us the kind of leaders we deserve.Point kwann Africa haipati viongozi bora tofauti na ulaya means Mungu atupendi sie tumepewa madikteta tu waletao shida na ufukara tofauti na ulaya
Haha haaa ..Mkemia ali neutralize solution?
Who change and shape our behavior why AfricaProbably the whole thing begins with our behaviours, and that is what compels God to give us the kind of leaders we deserve.
Gerezani ni Ikulu?Kila binadamu hupitia changamoto na misukosuko ya kipekee...
Wengine mpaka magerezani wamepitia...
Cc: mahondaw
Ben Saanane naye alisema wakati huo "Namtakia Nafuu".Magufuli augua ghafla, alazwa
Naomba mnijuze juu ya uvumi wa kuwa waziri wa miundombinu yupo dodoma anaumwa na kuna mdogo wangu kaniambia hilo ====== UPDATE: WAZIRI wa Ujenzi, Dk John Magufuli jana (Aprili 18, 2012) aliugua ghafla akiwa kwenye Viwanja vya Bunge, Dodoma na kupelekwa katika Hospitali ya Mkoa ambako...www.jamiiforums.com
True hasa akishakunyoosha ukamuomba msamaha ukatambua ukuu wake mwawa maswaiba.Manji akupaswa kukimbia yamepita yale arudi kujenga nchi.Akunyoshi mara mbiliMagufuli ni mtu wa kusamehe, hana kinyongo
Magufuli huyuhuyuMagufuli ni mtu wa kusamehe, hana kinyongo
Hapa unadhihirisha ushamba wako na utoto ilitangazwa Sana kipindi kileHii ya Magufuli haikutangazwa Mkuu, iliisha kimya kimya
Hao waliompatia sumu kweli mpaka leo wangali hai & huru uraiani
AmenAhsante kwa mchango wako juu ya tafsiri.
Hiyo si tafsiri yangu, nimenukuu toka Biblia Habari Njema (BHN) kama ilivyo toka mtandaoni.
Link Isaya 54:17 Silaha zote zilizoundwa kukudhuru wewe hazitafaa chochote kile. Mtu akikushtaki mahakamani, utamshinda. Hilo ndilo fungu nililowapangia watumishi wangu. Hizo ndizo haki nilizowathibitishia. Mimi Mweny | Biblia Habari Njema (BHN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.
Nilitaka kuweka na tafsiri nyingine toka toleo tofauti la biblia nikaona ujumbe utakuwa mrefu.
"Isaya 54:17 Kila silaha itengenezwayo juu yako ... - Bible.comIsaya 54:17 Kila silaha itengenezwayo juu yako haitafanikiwa, na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa BWANA, na haki yao inayotoka kwangu mimi, asem | Swahili Revised Union Version (SUV) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.
Kila silaha itengenezwayo juu yako haitafanikiwa, na kila ulimi utakaoinuka juu yako katika hukumu utauhukumu kuwa mkosa. Huu ndio urithi wa watumishi wa .."
Hiyo ni tafsiri ya Biblia ya wakatoliki ktk lugha rahisi ya sasa.
Lazima kasha deal naoInaonekana anawafahamu sijui anawachukuliaje.
Kweli Mkuu Mzee anafunguka makubwa mno
Siasa kitu kibaya sana kwakweli,hasa Afrika
Kama wale waliweza kuwa na uthubu wa kumnywesha sumu, hivi viongozi wa sasa wanashindwa vipi nao kutenda??
Magufuli hakupewa sumu, ni muongo tu, anajihisi sana.
Naamini alikula sana aka vimbewa.
Hiyo sumu gani isiyodhuru?!
Angefariki ningeamini.