Magufuli: Nikiwa Waziri nilinyweshwa sumu na viongozi waliochukia utendaji kazi wangu, nilitaka kujiuzulu

Magufuli: Nikiwa Waziri nilinyweshwa sumu na viongozi waliochukia utendaji kazi wangu, nilitaka kujiuzulu

Hilo ni tukio la juzi tu we kiazi
 
Ila tuache utani. Tanzania kuna amani sana. Rais wa nchi ananyweshwa sumu halafu hata jalada halifunguliwi polisi.

Maajabu zaidi huyo aliyenyweshwa sumu anawajua mpaka waliomnywesha hiyo sumu lakini anaamua kumezea tu..

Maaskari nao wanasikia hizo tuhuma wala.hawajigusi kuanzisha upelelezi.

Amani imetamalaki kama peponi
.
Acheni kumlisha maneno alisema kabla ya kuupata ndio alikutana na dhahma hiyo kaamua kusamehe fimbo watachapwa na Mungu
 
IMG_20190928_091003.jpg
 
Kuna mengi yanatokea hayajulikani nadhani ukiyasikia huwezi kutamani kuwa yanafanyika Tz,ila waliohusika kwa Jiwe watakuwa wanaisoma namba.

Ila mlikuwa active na tayari mlikuwa mmeanza kuijua Tz politics mnaweza kutupa hali ilikuwaje kipindi hicho
Yasadikiwa alipigwa na Piemu wa wakati huo, sababu kubwa iliyodhaniwa ni harakati za urais 2005. Alienda tibiwa nje ya nchi fasta kwa ndege ya dharura.
 
Naipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuwezesha rais Magufuli kuzindua kitabu cha rais mstaafu Mkapa.
Happy birthday Ben.
Ha Ha Ha Ha ndivyo anavyotaka mzee Meko
 
Hakuna kitu kigumu Kama kuijua dhamira ya Mungu! Kwa hiyo sisi tuishi tu, na Mungu atalinda wema na wabaya kwa matumizi yake anayojua yeye mwenyewe kama kutoa elimu au hata kurekebisha umati wa binaadam Duniani!
NB: Vita kuu ya pili imetoa elimu kubwa sana kwa binaadam kisiasa, kisayansi na kiuchumi na ilikuwa muhimu sana kabla ya huu mlipuko mkubwa wa sayansi na teknolojia tuliopata kwa muda mfupi!
Mema sana. Ni ajabu wengine humu kudhani Mungu alimlinda Rais Magufuli asife kwa sumu ili kuleta mema tu. Wanasahau kuwa amekuja na 'wasiojulikana!!!'
 
Kama wewe ni mtu wa kuamini Mungu wa dini za Israel na Uarabuni basi ujue mfalme au raisi yeyote hata umuone katili au mbaya ujue ameletwa na kusimikwa na Mungu kwa makusudi flani.
Huenda ikiwa kutokana na kukithiri kwa uovu au madhambi flani kwa walioletewa huyo kiongozi au for greater good of the mankind in general.
Soma hapo chini ukizingatia maandishi yaliyo kolezwa wino(bold font).

Romans 13:1
Every person is to be in subjection to the governing authorities For there is no authority except from God, and those which exist are established by God.

1 Peter 2:13-14
Submit yourselves for the Lord's sake to every human institution, whether to a king as the one in authority, or to governors as sent by him for the punishment of evildoers and the praise of those who do right.
Cha ajabu Yesu Mnazarethi ya Galilaya ya Mfalme Herode, alikataa ku submit kwa Mfalme huyo mwovu alipopata habari kuwa anataka kumuua, akisema: "Nendeni mwambie yule mbweha..."
 
Back
Top Bottom