Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Mawaziri wa juu ni wale wanao jiandaa kugombea urais, na kwa maana hiyo hapo ni eitha alikuwa ana mtwanga JK au Eddo.
Sasa kama hakukuwa na ushahidi kuwa ni mawaziri walimpa sumu bali hisia zake na ukweli ni kiporo alichopewa na mama jeska basi amesha jenga ugomvi mkubwa sana na mawaziri walio kuwa katika baraza wakati huo.
Nina hakika habari hizo (za sumu) hazikuwepo katika hotuba aliyo tayatishiwa bali kwa tabia zake kachomeka tuu!
Sasa kama hakukuwa na ushahidi kuwa ni mawaziri walimpa sumu bali hisia zake na ukweli ni kiporo alichopewa na mama jeska basi amesha jenga ugomvi mkubwa sana na mawaziri walio kuwa katika baraza wakati huo.
Nina hakika habari hizo (za sumu) hazikuwepo katika hotuba aliyo tayatishiwa bali kwa tabia zake kachomeka tuu!