Magufuli: Nilipanga kuchukua timu ya jeshi iwe ya Taifa

Kuanzia asubuhi jioni wao uwe mpira tu anayeshindwa apigwe rock up, hayo ni maneno aloyasema kipindi cha nyuma Ikulu, kutokana na matokeo mabovu ya stars ya kila wakati
Je toka mh. Rais ameongea maneno hayo aliwekeza inavyostahili katika mpira? Je watendaji wake wamesaidia inavyostahili au wangali katika siasa za wachezaji watano wa kigeni na fungiafungia?
 
kwani hata ukichukua timu ya jeshi kama inalala njaa, haina benchi zuri la ufundi, haina pesa itafanya nini?!?, mpira wa leo sio kama aliocheza akiha hussein ngulungu, Sunday manara,Juma pondamali,Mo Kajole na wengine wengi,soka la leo its all about money. acha kuwalipa wanajeshi maslahi yao miezi kadhaa mfululizo uone!
 
Labda tupeleke timu za wachawi. Tuwakusanye huko Bagamoyo, Kyela, Sumbawanga, na Rufiji. Tena wale wenyewe mabusha ndio hodari kuliko Samata.
 
Kuanzia asubuhi jioni wao uwe mpira tu anayeshindwa apigwe rock up, hayo ni maneno aloyasema kipindi cha nyuma Ikulu, kutokana na matokeo mabovu ya stars ya kila wakati
Huyu Magu anajikomba kwa wanajeshi, anajua ndiyo Urais wake. Atawasema mazuri yote, lkn jeshi halina lolote la maana kwenye mpira ukiacha mitulinga ya kutumia nguvu katika mazoezi! Huku hakuhitaji nguvu kiasi hicho....
 
Kuanzia asubuhi jioni wao uwe mpira tu anayeshindwa apigwe rock up, hayo ni maneno aloyasema kipindi cha nyuma Ikulu, kutokana na matokeo mabovu ya stars ya kila wakati
aichuku JKT ruvu aone watavyofanywa
 
Team za Jeshi kwani zimefika wapi ?

1. jkt ruvu

2. jkt oljoro

3. 82 rangers

4. Tanzania prisons

6. Polisi Dodoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…