Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kauli aliitoa Dr. JP Magufuli alipokuwa kwenye Jukwaa la kampeni huko Geita
Sasa, nauliza atawabeba vipi hao wafanyabiashara kama Diallo?
Au watapewa Msamaha wa Kodi?
Kama Mgombea Urais anatuaminisha vipi kwamba atatusaidia maskini?
Au through kuwabeba matajiri waliyomsaidia kwenye kampeni, na sisi maskini tutafaidika?
Hizi Kauli zingine kama Mgombea Uraisi siyo za kuongea Jukwaani
Hii kauli aliitoa Dr. JP Magufuli alipokuwa kwenye Jukwaa la kampeni huko Geita
Sasa, nauliza atawabeba vipi hao wafanyabiashara kama Diallo?
Au watapewa Msamaha wa Kodi?
Kama Mgombea Urais anatuaminisha vipi kwamba atatusaidia maskini?
Au through kuwabeba matajiri waliyomsaidia kwenye kampeni, na sisi maskini tutafaidika?
Hizi Kauli zingine kama Mgombea Uraisi siyo za kuongea Jukwaani