Uchaguzi 2020 Magufuli si mgombea wa Tanzania pekee bali Afrika nzima inamuhitaji

Please write some meaningful, educative and thoughtful articles which can convince some swing voters to make an informed decision ...
 
Umewahi kujiuliza sababu za idadi kubwa ya watu bila ushawishi wa wasanii wanaomuunga mkono Tundu lissu wanahitaji nini?
Unadhani hizo rekodi zimewasaidia?

Kisha jiulize kwanini nguvu kubwa inatumika kumdhibiti Lissu.

Lakini jifikirie vizuri ikiwa utashinda huu uchaguzi unatakiwa uwafanyie nini wanannchi.
 
Usidanganywe na kelele za Mabeberu, JPM ndiye Rais bora Afrika
Nimekuongeza kwenye ignore list, hakuna asiyejua we ni moja ya lile kundi la jiwe special kwa ajili ya kusambaza use***e kwenye social media zote, mnalipwa kudanganya watanzania, hivyo vihela mnahisi vitawatajirisha? badala ya kufikiria future yenu na watoto wenu nchi iendelee mmekaa mnafikiria siku mbili mbele, shenzi kabisa. Usijisumbua kureply sitoona reply yako after hii message unaingia kwenye blocklist
 
Tena kusambaza us**nge usio na maana
 

Unajitoa akili kisa njaa ya madaraka na kujipedekeza
 
Tena kusambaza us**nge usio na maana
Kupata mgombea wakala wa mabeberu tu, mnaanza matusi, je mkipewa ukuu wa mkoa si itakuwa balaaa?. Mazuri ya JPM, kila mtanzania anayaona, Afrika inayaona na dunia inajua. Ondoa upofu uone mema na mafanikio ya JPM 2015-2020 ili tarehe 28, usiharibu kura yako. Chagua Magufuli, Chagua Maendeleo
 
Ni sahihi kabisa kilichobaki ni sisi kwenda kuimalizia hii open test kwa kumpa Magufuli kura nyingi za ndio.

October 28th kura zote za ndio ni kwa Magufuli.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Tanzania itajengwa na watanzania wenyewe, Tumuunge Mkono JPM kwa Maendeleo ya Nchi. Ukimnyima kura, vizazi vyako vitakuja kukushangaa na kufukua kaburi lako kukuchapa viboko.
Leo hii Libya, wanatamani kumfufua Ghadafi, mema ya nchi yametoweka kabisa kwa upuuzi na ulimbukeni wa kuwaamini mabeberu
 
Unajitoa akili kisa njaa ya madaraka na kujipedekeza
Mwenye akili timamu anajua JPM ni jembe, ni siraha na nyenzo muhimu kwa maendeleo ya Tanzania. Chagua Magufuli, Chagua Maendeleo
 
Kwa unafiq Mungu kakupa kipaji
Mr. Sangatiti wa Three Suitors One Husband usifanye makosa kura yako ni muhimu sana tafadhali mpigie kura Magufuli kwa maendeleo ya Tanzania.

Miaka mitano ijayo ni maendeleo myatarajiayo mazuri zaidi yanakuja.

October 28th kura zote za ndio apewe Magufuli.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
John Pombe Joseph Magufuli kipenzi cha watanzania
 
Ni hiyo wanayoiita demokrasia tu, ila uchaguzi huu ulitakiwa usiwepo tuokoe fedha zetu.
Maana tuliyokuwa tunayahitaji yanafanyika, Rais mwingine kwa wakati huu wa nini sasa?
 
Wewe asili yako ni wapi?. Makabila asiliya ya Tanzania ni mawili tu, Wahadzabe na Wasandawe, mengine yote ni wahamiaji. Ulizia vizuri Historia ya Tanzania. Ndomaana nakwambia, akili za kuambiwa uwe unachanganya na zako. Chagua Magufuli, chagua Maendeleo
Weka ushahidi kwamba sio mhutu kutoka Burundi
 
[emoji1782][emoji1782][emoji1782] View attachment 1604290
Angalau wewe ni mzalendo umekiri kwamba CCM imetekeleza sehemu ya ahadi zake. Tupe nafasi ya pili Ili kumalizia hayo mapengo yaliuobakia.
Changamoto zilikwamisha tusifikie 100% ya utekelezaji ahadi. Hujuma za wapinzani, hujuma za Mabeberu, Korona n.k, vilichangia. Lakini tumepambana kiume mpaka hatua hiyo.
Chagua Magufuli, chagua Maendeleo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…