Uchaguzi 2020 Magufuli sikufichi, hutopata kura yangu Ng'ooo!

Uchaguzi 2020 Magufuli sikufichi, hutopata kura yangu Ng'ooo!

Amsterdam kala wa chuya
MAGUFULI SITAKUCHAGUA, WEWE ULE BATA, MIMI NISOTE.

Na, Robert Heriel.

Haya ni maamuzi yangu, wala sitaki mtu ayaingilie. Nimeamua kwa akili zangu. Bahati njema mimi sio Mnafiki, nyeupe ni nyeupe, Nyeusi ni nyeusi...
 
Unajitahidi kutumia Fasihi vizuri sana.
Na pia wewe ni mwandishi mzuri sana .

Ila ukitumia fasihi ngumu kidgo kama hizi ni wachache wanaokuelewa...

Mamlaka ya kufanya tathmini unayapata wapi? Wewe ni examiner?

Usitutishe na wala usitufokee.

Bandiko limewagusa vilivyo!
 
MAGUFULI SITAKUCHAGUA, WEWE ULE BATA, MIMI NISOTE.

Na, Robert Heriel.

Haya ni maamuzi yangu, wala sitaki mtu ayaingilie. Nimeamua kwa akili zangu. Bahati njema mimi sio Mnafiki, nyeupe ni nyeupe, Nyeusi ni nyeusi...
Kura yako moja ina impacto gani?
 
Back
Top Bottom