Magufuli will allow Kenyans into Tanzania if I become president- Raila

Magufuli will allow Kenyans into Tanzania if I become president- Raila

Mgombea wa Urais kupitia Muungano wa NASA, Raila Odinga amesema kuwa kama akichaguliwa kuwa Rais wa Kenya basi itakuwa rahisi kuimarisha uhusiano wa nchi hiyo na Tanzania kwasababu ya mahusiano mazuri kati yake na Rais Magufuli.

Akaongeza kuwa mpaka wa Namanga kati ya Tanzania na Kenya utafunguliwa na marufuku ya bidhaa za Kenya itaondolewa.

=====
Magufuli will allow Kenyans into Tanzania if I become president- Raila

- Raila Odinga has promised to mend the frosty relationship between Kenya and Tanzania if he becomes president

- Raila said he is a close friend of Magufuli and will use this to mend the relationship

- He said the Kenya-Tanzania border at Namanga will be opened and ban on Kenyan goods and products be lifted

National Super Alliance (NASA) flag bearer Raila Odinga has claimed Tanzanian President John Magufuli is likely to listen to him more than he would do to President Uhuru Kenyatta.

Addressing residents of Namanga town in Kajiado on Friday, July 28, Raila said that he will use his close relationship with Magufuli to make sure that sanity returns at the Kenya-Tanzania border.

He also said that once he is elected president, Tanzania will lift the ban it has imposed on Kenyan exports.

"Magufuli is my friend. I will speak to him and ensure that this border is opened," Raila said as quoted by Nation.

As reported by TUKO.co.ke, the relationship between the two countries has been frosty in recent days, with Tanzania banning at least 20 Kenyan companies from exporting goods and products into its territory.

Kenyans working in Tanzania were recently chased away with Kenya retaliating by sending away Tanzanians working in Kenya.

Raila and Magufuli have been close friends for a long time and it was suspected Tanzania was willing to allow NASA set up a parallel tallying centre there to tally its own results.

However, Raila and Tanzania have since denied the claims made by a section of Jubilee.

Source: TUKO
a total daylight dream,he is just a vote hunter in his country,we tanzanian citizens are the ones with righs to say yes or no with such decicions like that and not Jpm with his personal family friend
that is one of the serious matters with Tanzanians on the so called eac.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
i think he meant for bussines .so don't panic brothers
 
Kumbe yule dada wa mamtoni alisema kweli. Kuwa huyu magu anaingilia huu uchaguzi sababu ya ushosti na huyu mjaluo!! Na ndio anaharibu zaidi. Ndio maana anawalilia Acacia kila siku zababu kenyata nae ana shilingi hapo na kuzuia wakenya wasilete vitu huku ili wakenya wamchukie kenyata....wakiparurana huko.msijekukataa kuwa na nyie mnahusika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe yule dada wa mamtoni alisema kweli. Kuwa huyu magu anaingilia huu uchaguzi sababu ya ushosti na huyu mjaluo!! Na ndio anaharibu zaidi. Ndio maana anawalilia Acacia kila siku zababu kenyata nae ana shilingi hapo na kuzuia wakenya wasilete vitu huku ili wakenya wamchukie kenyata....wakiparurana huko.msijekukataa kuwa na nyie mnahusika tu

Sent using Jamii Forums mobile app

Na mwaka huu mmeshikwa!!! Mtaua wote lakini bado hamtashinda!! Najaribu tu kuwaza kwa sauti!!!!!!
 
Kumbe yule dada wa mamtoni alisema kweli. Kuwa huyu magu anaingilia huu uchaguzi sababu ya ushosti na huyu mjaluo!! Na ndio anaharibu zaidi. Ndio maana anawalilia Acacia kila siku zababu kenyata nae ana shilingi hapo na kuzuia wakenya wasilete vitu huku ili wakenya wamchukie kenyata....wakiparurana huko.msijekukataa kuwa na nyie mnahusika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
U nafikiri Acacia kampuni ya maziwa? How idiot r u?
U started creating a rigging environment by making ICT expert disappear now one remains by the name Kioni, guess what a Mumbi from central.

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii title imekaaje? Kwani sasa hivi wamezuiwa?
Au ata loosen hizo resriction za biashara? Na Magufuli kuondoa vikwazo anaangalia rais ni nani au ni jinsi nchi zote 2 zitafsidika?
Huyu jamaa ahadi zake sujui vipi
 
Kwa hiyo rais wa Tz hana mahusiano mazuri na uongozi wa sasa Kenya? Mahusiano yetu na nchi za nje yanajengwa katika mazingira ya kuhitajiana/ kushirikiana au uswahiba wa viongozi wa nchi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenyan election shouldn't have been associated with our president. If I were Kenyatta I would also mention the same in my own favour in response to the statement.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani asiyejua kuwa mpo desperate kuingia Tanzania? Ushawahi kusikia Mtanzania akilalamika kuhusu uhamiaji kuja kwenu? Kila siku nyie ndio macrybabies wa Jumuiya.

Ingekua vizuri upate takwimu za baina ya Watanzania wanaoingia Kenya dhidi ya Wakenya wanaokuja huko. Watanzania wamejaa Kenya kwanza ukienda eneo la Gikomba utadhani upo Dar. Pia barabara zetu zimejaa omba omba kutoka Tanzania.

Hapa namshangaa sana Raila anapataka kuonyesha kwamba tupo desperate kwenda kwa nchi maskini wa kutupwa, bora hata angesema nchi zilizo mbele yetu kiuchumi.

Hapo Tanzania labda wataalam wa Kikenya ndio wanakuja kupiga hela na kugeuza.
 
Huyu Raila anataka kutufanya kuonekana kama tupo desperate sana kuingia Tanzania. Aongee kuhusu sera za kubuni ajira ili wataalam wetu wabaki ndani.

Mkuu huyo jamaa yenu mkataeni asee. Naanza kuhisi hizi sarakasi zote za kupigana bans ya bidhaa na kutokuwauzia nafaka ulikuwa ni mpango wa kutibua mambo mambo ili jamaa ajifanye atarekebisha. Typical politicians who creates problems afu aje asolve that problem for his political gain.
 
Mgombea wa Urais kupitia Muungano wa NASA, Raila Odinga amesema kuwa kama akichaguliwa kuwa Rais wa Kenya basi itakuwa rahisi kuimarisha uhusiano wa nchi hiyo na Tanzania kwasababu ya mahusiano mazuri kati yake na Rais Magufuli.

Akaongeza kuwa mpaka wa Namanga kati ya Tanzania na Kenya utafunguliwa na marufuku ya bidhaa za Kenya itaondolewa.

=====
Magufuli will allow Kenyans into Tanzania if I become president- Raila

- Raila Odinga has promised to mend the frosty relationship between Kenya and Tanzania if he becomes president

- Raila said he is a close friend of Magufuli and will use this to mend the relationship

- He said the Kenya-Tanzania border at Namanga will be opened and ban on Kenyan goods and products be lifted

National Super Alliance (NASA) flag bearer Raila Odinga has claimed Tanzanian President John Magufuli is likely to listen to him more than he would do to President Uhuru Kenyatta.

Addressing residents of Namanga town in Kajiado on Friday, July 28, Raila said that he will use his close relationship with Magufuli to make sure that sanity returns at the Kenya-Tanzania border.

He also said that once he is elected president, Tanzania will lift the ban it has imposed on Kenyan exports.

"Magufuli is my friend. I will speak to him and ensure that this border is opened," Raila said as quoted by Nation.

As reported by TUKO.co.ke, the relationship between the two countries has been frosty in recent days, with Tanzania banning at least 20 Kenyan companies from exporting goods and products into its territory.

Kenyans working in Tanzania were recently chased away with Kenya retaliating by sending away Tanzanians working in Kenya.

Raila and Magufuli have been close friends for a long time and it was suspected Tanzania was willing to allow NASA set up a parallel tallying centre there to tally its own results.

However, Raila and Tanzania have since denied the claims made by a section of Jubilee.

Source: TUKO
Aache kumtumia rais wetu kupata kura, apogane kivyake!!
 
Yaani urafiki binafsi wa watu wawili ndio ubadili sera na mipango ya nchi!!!
 
Ingekua vizuri upate takwimu za baina ya Watanzania wanaoingia Kenya dhidi ya Wakenya wanaokuja huko. Watanzania wamejaa Kenya kwanza ukienda eneo la Gikomba utadhani upo Dar. Pia barabara zetu zimejaa omba omba kutoka Tanzania.

Hapa namshangaa sana Raila anapataka kuonyesha kwamba tupo desperate kwenda kwa nchi maskini wa kutupwa, bora hata angesema nchi zilizo mbele yetu kiuchumi.

Hapo Tanzania labda wataalam wa Kikenya ndio wanakuja kupiga hela na kugeuza.
Hayo maoni odinga kayapata kutoka kwa wakenya wenzio!
 
Back
Top Bottom