Is there in Kenya? Or US? He will win, but not because there is no democracy but because the same voters are still moved by his slogans and leadership.Are you assuming that there is real democracy in Tanzania?
Binafsi acha nibaki na kasoro kuliko kumsifu mtu wa hovyo.Tanzania tupo nyuma sana aisee.
nikikumbuka huu uzala kipindi nikiwa Kenya miaka ya tisini, Wakenya walikuwa wakimsifu sana marehemu Rais Moi na kuimba mapambio ya ajabu ajabu kama watoto wa nursery.
Sisi Watanzania ni kama tuna kasoro pahali flani.
You need common sense
Wewe ni kunyaland mambo yetu tuachieni wenyeweTanzania tupo nyuma sana aisee.
nikikumbuka huu uzala kipindi nikiwa Kenya miaka ya tisini, Wakenya walikuwa wakimsifu sana marehemu Rais Moi na kuimba mapambio ya ajabu ajabu kama watoto wa nursery.
Sisi Watanzania ni kama tuna kasoro pahali flani.
mi Mnyamwezi,,,, natokea Tabora.Wewe ni kunyaland mambo yetu tuachieni wenyewe
Nyinyi ndio wakenya mnajipachika uraia wa Tanzania , na mko wengi hapa tuna jukwaa letu la siasa kwani kama mtanzania ulete siasa za Tanzania kwenye jukwaa la wakenya sasa kosea step ukapige kura utatutambua vizuri maana ya watanzania waachie watanzaniami Mnyamwezi,,,, natokea Tabora.
karibu sana Tabora ndugu
Kenya Upinzani ulishajifia tangu HandchequeKwa sasa hivi upinzani labda wasubiri sana, walishabamizwa huwa hawaruhusiwi hata kukusanyika watano, ila CCM wamekua wakipiga kampeni kila siku kote kote na wamefaulu kuwafanya Watz wote waimbe mapambio ya kusifu, ukweli upinzani unakwenda kufutwa Tz kwenye huu uchaguzi.
Tanzania tupo nyuma sana aisee.
nikikumbuka huu uzala kipindi nikiwa Kenya miaka ya tisini, Wakenya walikuwa wakimsifu sana marehemu Rais Moi na kuimba mapambio ya ajabu ajabu kama watoto wa nursery.
Sisi Watanzania ni kama tuna kasoro pahali flani.
Waache hao bado wapo karne ya 16 AD....wakisha zinduka wengine tutakua developed kabisa.
Tazama hata siasa za nchi yao,hawana institutions,wee chezea wakomunisti..heheheh....wapo kama Uchina na Urusi...kichekesho cha ukanda huu wote.
1. Kutenguana
2. Kuwamiminia viongozi wakuu risasi
3.Jitu Mungu
4. Kusifiasifia
5. Fungiafungia-makampuni
6. Kamata kamata
7. Katiba sufuri
8. Diplomasia sufuri
9. Maamuzi ya hovyo na ya ajabu ajabu,kichekesho,kituko.
10. Uongo tena wa mchana-tume,tuta,tuli n.k
11. Takwimu za uongo
12. Wawekezaji kutimuliwa
13. N.K
Okay, Vipi kuhusu Upinzani hapo Ke?Pitia huu uzi hapa chini uone ubaguzi wa wazi dhidi ya wapinzani, ni kama hawalipi kodi kabisa, au hawapo kwenye nchi yao.
Uchaguzi 2020 - Magufuli kakosea sana kampeni zake mkoani Mara. Je, haujui mkoa ule?, au ni hapendi watu wake?
Kwetu hapa hatutegemei upinzani au serikali ila ugatuzi, maana kwamba rais hachagui wapi apeleke maendeleo.
Mbona Jimbo la wasomali waki kenya kukame,ata huduma za kijamii za kuzoom.Kwetu hapa hatutegemei upinzani au serikali ila ugatuzi, maana kwamba rais hachagui wapi apeleke maendeleo.
Kwamba Kenya ndio nchi yakwanza yakidemokrasia isiyo na upinzani ila inaugatuzi hili ni balaa.Kwetu hapa hatutegemei upinzani au serikali ila ugatuzi, maana kwamba rais hachagui wapi apeleke maendeleo.
Hivi huko kwenu nini maana ya uchaguzi, au huwa mnafanya kama chenga la macho kwa mabeberu ili waendelee kutuma misaada.Kwamba Kenya ndio nchi yakwanza yakidemokrasia isiyo na upinzani ila inaugatuzi hili ni balaa.
Basi ndio maana watu wanagatua hela Za COVID.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app