Uongozi wa chuo kikuu cha dodoma unaandaa mkakati wa kukataza wanafunzi kuvaa vazi la kichadema(gwanda) kwa kile wanachokiita kupiga vita siasa chuoni.hii imetokana na asilimia kubwa ya wanafunzi kuonekana kuwa wanavaa gwanda pamoja na skafu zenye rangi za chadema kana kwamba ndio sare ya chuo kwa hivi sasa. Habari hizi nimezipata kutoka kwa mwanachadema mmoja ambae anafanya kazi ofisi ya deputy vice chanselor(pfa) na hakutaka nimtaje jina lake. Chakujiuliza ni kwanini unapoingia chuoni kupitia chimwaga kuna bango lenye maandishi ccm?