hiyo ndo kazi wanayoiweza hao wazee. Wameshindwa kuwalipa walimu wetu mishahara yao mipya tangu wawapromote mwaka jana november 26, 2010. Nadhani na hujiuliza hivi mh rais hawa wazee watatu (vc, dvc-arc na pfa) uliwateua waje kutesa watanzania hapa udom? Kama sivyo mbona wanajidai kuwa wana mtu huwa anawakumbatia na wewe mh rais unatajwa? Kama huwakumbatii ama hawakumbatiwi na serikali yako kazi yao ilikuwa kujenga magorofa na sio kuwa daraja kati yao na serikali kuwezesha wafanyakazi na wanafunzi kupata haki zao?
Hivi kweli waheshimiwa mkulo, ghasia na kawambwa mmekubali kabisa walimu hawa kulipwa mishahara isiyostahili yao kwa mwaka sasa wakati wenzao sua, muce, duce na udsm wakishakuwa promoted mwezi unaofuatia wanalipwa stahili zao?, hawa wa udom wana hazina yao peke yao ambayo pia iko nje ya nchi hii?
Najiuliza huyu pfa, mhasibu mkuu na director human resource wangekuwa wanafanya kazi china wangekuwa bado hai kweli kwa ukatili, dharau na kutokuwajibika kwao huku?