Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
pamoja na kwamba nakupenda sana ila nashindwa kuongea lakini kuhusu swala la ndomo na mfalme Kiba mimi na wewe ni mbingu na ard...eh kuna boda boda inapiga mwana hapa, ngoja niserebuke kidogo.
Teh teh akienda jela akirudi atakuwa kidole juu....
Mahakama ya Jf imeamuru bila huruma miaka 15 jela na viboko 24,12 siku anaingia jela,12 siku anatoka akamuonyeshe Wema Sepetu.Cooooooouurtt....
Nilikuwa DDC mlimani city muda ule mwana dsm inapigwa, sasa nipo maeneo ya Kimboka kuna huduma fulani nafatilia hapa nasikia huku ni bei rahisi na inapatikana kwa wingi.
Hahahaaaaaaa
Ingawa mi napenda wasanii wote lakini nimecheka sana mnavyomshupalia jamaa.
Utafikiri aliwagongea mademu zenu.
Eti imekuwaje
habari yenyewe ni kichekesho tosha kuanzia mwanzo hadi mwisho.
Kweli jamaaa mwaka huu mmeamua kumwandama.
Aisee umenivunja mbavu na hiyo picha ya dadamond anavyokata nyonga na gwanda za ujedani!
Mwaka huu wake, na bado..
Ha ha ha u uzi umenichekesha sana idea ya kuvaa magwada sijui aliitoa wapi ha ha uwiiiiii
Humu watu wana Joto na hasira na maisha yao, mtu ana aamka saa 11 Alfajir anagombea daladala kurudi saa2 usiku na degree yake afu mshahara laki4 ataacha kumchukia mtu bila sababu kweli aliyeishia O level?
Hembu waulize sababu hasa wanayo mchukia huyo Diamond kama wanayo basi, sana sana watakuambia ana Show off? Ha ha ha ha Jealous bana!!
Teh teh akienda jela akirudi atakuwa kidole juu....
Atakuwa alimdanganya wema manake kuna kipindi alimwambia asiwe anavaa chu.pi na yeye akawa anatembea ametanguliza nanii yake kama punda wa kenya, kuna kipindia akamwambia avae wigi la kike, na yeye kwa upimbi wake akavaa,
akamwambia asinunue chupi na badala yake anunuliwe na mama yake, na yeye akawa anaomba kununuliwa chupi na mama yake.
Kwenye ile shoo gani ile akamwambia avae sketi, na yeye akavaa kweli.
Kuna siku atamwambia binua nanii niingize kitu fulani kizito, atakaposhituka mzee ta.Le ameshamaliza yake nyuma.
Atakuwa alimdanganya wema manake kuna kipindi alimwambia asiwe anavaa chu.pi na yeye akawa anatembea ametanguliza nanii yake kama punda wa kenya, kuna kipindia akamwambia avae wigi la kike, na yeye kwa upimbi wake akavaa,
akamwambia asinunue chupi na badala yake anunuliwe na mama yake, na yeye akawa anaomba kununuliwa chupi na mama yake.
Kwenye ile shoo gani ile akamwambia avae sketi, na yeye akavaa kweli.
Kuna siku atamwambia binua nanii niingize kitu fulani kizito, atakaposhituka mzee ta.Le ameshamaliza yake nyuma.